Wewe mtoa mada naona hiyo shule unayosoma bado haijakusaidia kabisa, bora uombe/uache shule mara moja. Coz sitegemei m2 anajiita msomi halafu analeta mada za kishilawadu hapa kwenye jukwaa la watu wasomi na wenye hoja maridhawa. Wewe badala ya kumpa pole unaleta porojo hapa? Kwani wewe hujambi? Kweli nyani haoni kaliole (kundule)Aiseee hapa nilipo nimeboreka sana
Kuna dada tupo tunafanya group discussion lakini cha ajabu kaachia ushuzi bila hata kuona haya yani kama vile hakijatokea kitu
Nimeshindwa kuvumilia kwa kweli imenibidi nije chonjo nije kumuanzishia mada kwa kweli
Kama harufu ya ushuzi ningeweza kuirecord ninge record halafu ningewatumia, yani unanuka balaaa
Aaaaaargh ,wenye tabia hizi muache jamani mnakera ukisikia ushuzi umekubana nenda chooni ujambe tani yako au laah nenda pembeni uuachie bila kuleta bugudha yoyote kwa wengine
,bila hivyo mtaaibika siku moja
nimpe pole kisa kajamba?Wewe mtoa mada naona hiyo shule unayosoma bado haijakusaidia kabisa, bora uombe/uache shule mara moja. Coz sitegemei m2 anajiita msomi halafu analeta mada za kishilawadu hapa kwenye jukwaa la watu wasomi na wenye hoja maridhawa. Wewe badala ya kumpa pole unaleta porojo hapa? Kwani wewe hujambi? Kweli nyani haoni kaliole (kundule)
Udsm si chuo mmefunga au?Brother njoo huku CoeT kuna bonge la zali mkuu yaaani masela wawili wanapigana kisa demu aseeeeeeeee tupo tuna chabo tuu maneno kibao yanarushwa na ngumi juuu.
hapana.
SawaWe lazima itakuwa wanakula ndogo tu si bure.
Wagumu tumebaki mkuu tuna projects japa jijn kwa makondaUdsm si chuo mmefunga au?