Wenye tatizo hili tukutane hapa!!!!!

Wenye tatizo hili tukutane hapa!!!!!

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
504
Reaction score
209
Wanajf mimi nasumbuliwa na macho kwa muda mrefu.Yanawasha mara kwa mara na ni mekundu.Nimefika mpaka CCBRT wakanipima na kusema yamejaa vumbi ila kwa madawa waliyonipa wakadai yatanisaidia sasa ni mwaka wa 8 bado mambo ni magumu.Kwa mliowahi kupata matatizo kama haya na mkapona tupeane uzoefu na kusaidiana.
 
Back
Top Bottom