Wenye ufaham na ''ENGLISH IN LANGUAGE MANAGEMENT''

Wenye ufaham na ''ENGLISH IN LANGUAGE MANAGEMENT''

Mbayo wa Giika

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
205
Reaction score
107
Wanajukwaa naombeni msaada kwa wenye uelewa na hii course inayotelewa Mzumbe. Content yake ni ipi, inaweza kumsaidia muhitimu kujiajiri au anaenda kuwa mwalimu? Inakuwa applicable kwenye nyanja ipi? NATANGULIZA SHUKRANI!
 
Ni bachelor of education in language and management kifupi belm.ndani yake utasoma kiswahili na English language pia utasoma education management yote kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwaka wa tatu.
Kama ilivyo kwa elimu yetu programme inakuandaa kuwa Mwalimu wa masomo husika na pia kufanya kazi katika utawala wa elimu maeneo kama wizarani kuwa Mwalimu mkaguzi na maeneo yote ya utawala wa elimu.
Kujiajiri ni ujasiri wako bila kutegemea umesoma nini kwa hiyo ina knowledge nzuri tu kukuwezesha kujiajiri.
 
Ni bachelor of education in language and management kifupi belm.ndani yake utasoma kiswahili na English language pia utasoma education management yote kuanzia mwaka wa kwanza mpaka mwaka wa tatu.
Kama ilivyo kwa elimu yetu programme inakuandaa kuwa Mwalimu wa masomo husika na pia kufanya kazi katika utawala wa elimu maeneo kama wizarani kuwa Mwalimu mkaguzi na maeneo yote ya utawala wa elimu.
Kujiajiri ni ujasiri wako bila kutegemea umesoma nini kwa hiyo ina knowledge nzuri tu kukuwezesha kujiajiri.

Ahsante kwa kunipa ufahamu huu!
 
Back
Top Bottom