Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Tumekuwa katika mazingira ambayo tunaambiwa ukimuota unafanya nae mapenzi mwanamke unaetaka kuwa nae kimahusiano au unampenda hutakuja kumla kamwe. Mi nikiangalia kunaviasilimia fulani hivi kuna ukweli🤭🤗 vipi wewe ndugu⁉️⁉️