WENYE UTHIBITISHO WATUAMBIE

WENYE UTHIBITISHO WATUAMBIE

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Tumekuwa katika mazingira ambayo tunaambiwa ukimuota unafanya nae mapenzi mwanamke unaetaka kuwa nae kimahusiano au unampenda hutakuja kumla kamwe. Mi nikiangalia kunaviasilimia fulani hivi kuna ukweli🤭🤗 vipi wewe ndugu⁉️⁉️
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini
Upungufu wa kinga?
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini
Wanasumbuliwa na upungufu wa kinga mwilini?
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
Suluhu yake ni nini?
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
Dawa yao Kitimoto tu,, mifupa had kitandani
Shwain hao
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
duh mbona hii hatari
 
Back
Top Bottom