Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Nakazia.ni imani potofu zisizo na misingi yeyote....
Upungufu wa kinga?Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.
Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini
Wanasumbuliwa na upungufu wa kinga mwilini?Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.
Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini
Sijaandika hivyo ume edit mwenyeweUpungufu wa kinga?
Sijaandika hivyo ume edit mwenyeweWanasumbuliwa na upungufu wa kinga mwilini?
Suluhu yake ni nini?Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.
Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
Sala na ibadaSuluhu yake ni nini?
Dawa yao Kitimoto tu,, mifupa had kitandaniMara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.
Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
duh mbona hii hatariMara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.
Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
Kasome vizuriSijaandika hivyo ume edit mwenyewe
Naona umebadilisha.Sijaandika hivyo ume edit mwenyewe
Hahahaha..... science behind100% true! Ukiota unamkanda mwanamke, jua huyo mwanamke huji kumkanda kamwe. Kama ulikuwa unamsaka, achana na hiyo mishe.