WENYE UTHIBITISHO WATUAMBIE

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Tumekuwa katika mazingira ambayo tunaambiwa ukimuota unafanya nae mapenzi mwanamke unaetaka kuwa nae kimahusiano au unampenda hutakuja kumla kamwe. Mi nikiangalia kunaviasilimia fulani hivi kuna ukweli🤭🤗 vipi wewe ndugu⁉️⁉️
 
Mara nyingi (na siyo Mara zote) ukiota unafanya mapenzi na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, huyo Ni jini mahaba anazini na wewe na kwa kuwa ana wivu, huwa anaweka wigo wa kiroho ili usimpate huyo mwanamke unayemuhitaji.

Na hii ndiyo sababu wanaume wengi wanaoota ndoto wakifanya ngono au wanapiga nyeto, Mara nyingi wanachelewa kuoa au wasioe kabisa na wakioa wanakuwa wanasumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
 
Upungufu wa kinga?
 
Wanasumbuliwa na upungufu wa kinga mwilini?
 
Suluhu yake ni nini?
 
Dawa yao Kitimoto tu,, mifupa had kitandani
Shwain hao
 
duh mbona hii hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…