Wenye uzoefu na Ajira za serikalini kupitia Utumishi

Wenye uzoefu na Ajira za serikalini kupitia Utumishi

Joined
Apr 20, 2021
Posts
13
Reaction score
15
Habari zenu waheshimiwa.Leo nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili NHC & TPC kupitia utumishi kama ilivyo kwenye document niliyo attachment hapo chini , MimiBinafsi niliomba nafasi ya Systems Administrator shirika la NHC ila kwenye kuitwa kwenye sahili Systems Administrator haipo kwahiyo tuliyoomba hatujaitwa, sasa nauliza inamaana ndio imetoka iyo au kuna watu kwenye kazi data wameshajaza nafasi au wanaweza kuja kutuita baadaye ? kwa wenye uzoefu naomba msaada maana ndiyo mara yangu ya kwanza ku_apply kupitia utumishi, Asanteni sana.
 

Attachments

Kama hujaitwa imeisha iyo.fanya mpango mwingine.
 
Wabongo tusipende kufosi vitu kama hawajaita omba nyengine wataita sio lazima hao wakuite.
 
Habari zenu waheshimiwa.Leo nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili NHC & TPC kupitia utumishi kama ilivyo kwenye document niliyo attachment hapo chini , MimiBinafsi niliomba nafasi ya Systems Administrator shirika la NHC ila kwenye kuitwa kwenye sahili Systems Administrator haipo kwahiyo tuliyoomba hatujaitwa, sasa nauliza inamaana ndio imetoka iyo au kuna watu kwenye kazi data wameshajaza nafasi au wanaweza kuja kutuita baadaye ? kwa wenye uzoefu naomba msaada maana ndiyo mara yangu ya kwanza ku_apply kupitia utumishi, Asanteni sana.
Kama kada uliyoomba wameitwa kwenye interview na jina lako halipo maana yake aidha umesahaulika kimakosa au haujafikia minimum qualification
 
Bado imeandika received upande wa Application Status, Kiongozi
Basi usijali mkuu, wote tulioomba hyo kazi ipo Received tu.. Wakiamua kuwekana wenyewe kwa wenyewe Wala Haina shida ndo maisha kijana tusiforce tufanane nao
 
Kama hawajaita maana yake kibali cha hiyo kada bado hakijatoka au mtaitwa phase inayofuata
Acha fiksi mkuu,sasa kibali kingekua hakijatoka wangeitangaza kwa mamlaka gani?
Me nadhani itakua wamechukua watu waliokua kwenye database yao,ila pia wanatakiwa kuwajulisha wahusika walioomba sio kuwaacha wanahang tu.
 
Acha fiksi mkuu,sasa kibali kingekua hakijatoka wangeitangaza kwa mamlaka gani?
Me nadhani itakua wamechukua watu waliokua kwenye database yao,ila pia wanatakiwa kuwajulisha wahusika walioomba sio kuwaacha wanahang tu.
Kama hujui uwe unauliza, umesoma para ya pili? Kwaio sekretarieti ya ajira wanaweza kuendesha interview ya kada zote at per?

Uwe unawaza kidoogo kabla ya kujitutumua
 
Kama hujui uwe unauliza, umesoma para ya pili? Kwaio sekretarieti ya ajira wanaweza kuendesha interview ya kada zote at per?

Uwe unawaza kidoogo kabla ya kujitutumua
Futa hilo neno kibali hakijatoka,maana utumishi hawawezi kutangaza kazi bila kuwa na kibali.vinginevyo wewe ndiyo hujui system za PSRS zinavyoendeshwa.
 
Back
Top Bottom