MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
Kama title invyojielezea nataka nijichange nichukue jaguar naomba wenye uzoefu na hio gari
Kama title invyojielezea nataka nijichange nichukue jaguar naomba wenye uzoefu na hio gari
Jaguar ni moja ya nagari imara, nimeishatumia kwa wakati flani, ni gari nzuri sana, zina nguvu mwendo ni mwake.. ila spare parts zake kidogo zinamtihani kwa ndani, itabidi uagize dubai ndio cheap kidogo
Mkuu chukua ni gari nzuri na imara. Sio gari za kuharibika ovyo ovyo.. changamoto yake ni spare tu, kwasababu ya uchache
Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.wa kupuliza bro hebu mpe experience yako huyu mkuu
Lazima mleta mada amepata mwanga!!Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.
Kuna mwana ana XJ Naona analitumia kwenda nalo church tu, maana Kuna kipindi liliwahi kuzingua jasho lilimtoka(Anaishi Arusha).
So ajilipue tu Kama analipenda
N qaaaal I[emoji91][emoji1732]. Unyama kabisa
Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.
Kuna mwana ana XJ Naona analitumia kwenda nalo church tu, maana Kuna kipindi liliwahi kuzingua jasho lilimtoka(Anaishi Arusha).
So ajilipue tu Kama analipenda
Una bei nikusumizie langu nataka niongeze hela nichukue Ford ranger
Unapendelea zile za mzungu (old) au za Mhindi Tata?
Jaguar ni moja ya gari ghali kwa kuzihudumia asikuambie mtu
Kama ni mpya kabisa service zake sio kubwa ila zikizidi 10 years mbona utaikimbia
Na kosa usije gonga au kugongana spare zake OG ni moto