Wenye uzoefu na Jaguar (XF na XE)

Wenye uzoefu na Jaguar (XF na XE)

Jaguar ni moja ya nagari imara, nimeishatumia kwa wakati flani, ni gari nzuri sana, zina nguvu mwendo ni mwake.. ila spare parts zake kidogo zinamtihani kwa ndani, itabidi uagize dubai ndio cheap kidogo
Kama title invyojielezea nataka nijichange nichukue jaguar naomba wenye uzoefu na hio gari
 
Kama title invyojielezea nataka nijichange nichukue jaguar naomba wenye uzoefu na hio gari

IMG_6967.jpg

IMG_6968.jpg

IMG_6959.jpg

IMG_6966.jpg

IMG_6958.jpg

IMG_6963.jpg

IMG_6964.jpg
 
wa kupuliza bro hebu mpe experience yako huyu mkuu
Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.

Kuna mwana ana XJ Naona analitumia kwenda nalo church tu, maana Kuna kipindi liliwahi kuzingua jasho lilimtoka(Anaishi Arusha).

So ajilipue tu Kama analipenda
 
Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.

Kuna mwana ana XJ Naona analitumia kwenda nalo church tu, maana Kuna kipindi liliwahi kuzingua jasho lilimtoka(Anaishi Arusha).

So ajilipue tu Kama analipenda
Lazima mleta mada amepata mwanga!!
Asante mkuu..
 
Nimeshaendesha X-type mkuu na tatizo lake kubwa lilikua Ni transfer case,kwa ujumla hayo Ni magari ya kununua ukiwa kwny miji mikubwa Dar,Arusha,Mwz etc ambako angalau Kuna dealers/mafundi wenye vifaa vya kisasa.

Kuna mwana ana XJ Naona analitumia kwenda nalo church tu, maana Kuna kipindi liliwahi kuzingua jasho lilimtoka(Anaishi Arusha).

So ajilipue tu Kama analipenda

Ahsante kwa mawazo Mkuu
 
Unapendelea zile za mzungu (old) au za Mhindi Tata?

Jaguar ni moja ya gari ghali kwa kuzihudumia asikuambie mtu
Kama ni mpya kabisa service zake sio kubwa ila zikizidi 10 years mbona utaikimbia
Na kosa usije gonga au kugongana spare zake OG ni moto
 
Back
Top Bottom