Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Naomba kujuzwa matatizo ya Mazda Rx 8 kwa anyejua, nimevutiwa na hizi gari na nataka kununua lakini ni lazima nijue shida zake kwanza nisije ugua presha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo bei.Hizi gari Nairobi ni nyingi sana sijui kwanini huku watu hawazinunui.
Zinauzwa bei kubwa sana?Tatizo bei.
hiyo haina piston ni rotary engineNaomba kujuzwa matatizo ya Mazda Rx 8 kwa anyejua, nimevutiwa na hizi gari na nataka kununua lakini ni lazima nijue shida zake kwanza nisije ugua presha.