Wenye uzoefu na udereva wa Uber na Bolt, naomba kujua faida, hasara na changamoto zake

Wenye uzoefu na udereva wa Uber na Bolt, naomba kujua faida, hasara na changamoto zake

Stiffler88

Senior Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
158
Reaction score
504
Baada ya chuo, kama kijana naona wakati nikiendelea kutafuta kazi nifanye biashara ya Uber/ Bolt.

Sasa wenye uzoefu Naomba wanijuze nn cha kufanya ukiwa unaanza, faida na hasara na pia changamoto za hii kazi. Maana nmeskia kuna ambao wana-make na ambao wanakua loss.. Pia namna nzuri ya ku jitune upige hela kwenye hii business.

Me nakaa Kigamboni kwa uzoefu wangu sijawai kua na access na Uber au Bolt pande hizi. Na sijajua n kwa sababu gani au ni Wingo wa bajaj, so nawaza nianze huku kwanza au.
 
Tafuta leseni kwanza class C 3. Wengi wamekimbia uber sababu ya leseni, bima yake wanataka comprehensive siku hizi na usajili lazima ubadilishe gari iwe commercial.
 
Tafuta leseni kwanza class C 3. Wengi wamekimbia uber sababu ya leseni, bima yake wanataka comprehensive siku hizi na usajili lazima ubadilishe gari iwe commercial.
Unaweza kutumia leseni ya mtu mwingine mwenye class C ukasajili alafu mtu mwingine mwenye leseni ya kawaida aendeshe?
 
Back
Top Bottom