miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 505
- 941
Kwa uzoefu wangu wa kutumia amazon bidhaa nyingi nilizoagiza mtandaoni garama yake mpaka kunifikia imekuwa kubwa kwa zaidi ya 25% kuliko bei ambazo maduka ya hapa tz huuza.
Mfano unakuta Samsung Galaxy A7 ya 2018 4gb ram 128gb rom inauzwa US Dola 390 mtandaoni. Unalipa kwa paypal inakuwa around Tshs 910,000.
Shipping agent unaemchagua anakupiga US Dola 182 ikiwa ni shipping, taxes na duties ambayo unamlipa around Tshs 430,000.
Ukijumlisha Tshs 910,000 na Tshs 430,000 unapata Tshs 1,340,000. Sasa madukani hapa tz simu hiyo hiyo inauzwa around Tshs 800,000.
Hii inaifanya biashara ya kuagiza vitu kwenye mitandao kama amazon kuwa ya hasara sana.
Nipeni uzoefu wenu kwa wale wenye uzoefu na jambo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano unakuta Samsung Galaxy A7 ya 2018 4gb ram 128gb rom inauzwa US Dola 390 mtandaoni. Unalipa kwa paypal inakuwa around Tshs 910,000.
Shipping agent unaemchagua anakupiga US Dola 182 ikiwa ni shipping, taxes na duties ambayo unamlipa around Tshs 430,000.
Ukijumlisha Tshs 910,000 na Tshs 430,000 unapata Tshs 1,340,000. Sasa madukani hapa tz simu hiyo hiyo inauzwa around Tshs 800,000.
Hii inaifanya biashara ya kuagiza vitu kwenye mitandao kama amazon kuwa ya hasara sana.
Nipeni uzoefu wenu kwa wale wenye uzoefu na jambo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app