Wenye vitambi kutaneni hapa

Afu kadiri kitambi kinavyoongezeka ndivyo ukubwa wa dushe unazidi kupungua.
 
Kitu cha msingi ni Diet,na Mazoezi.Tafuta mayai ya kienyeji uwe unayachemsha unakula Kutwa x 3,Asubuh 1,Mchana 1,Jion 1.
Unashushia Na Chai ya Rangi iliyotiwa Limao.
Kula Sana mboga za majani na Matunda.Usipendelee sana Vyakula vya Wanga na Sukari.
 
asipopungua hapo inabidi aende kwa gwajima kwa njia ya maombi.maana hamna namna sasa
 

Mkuu application gani hiyo ya diet na gym ulikuwa unalipa pesa ngap
 
Mkuu application gani hiyo ya diet na gym ulikuwa unalipa pesa ngap
Mkuu huna sababu ya kutumia pesa wala kwenda gym.fanya zoezi la kutembea harakaharaka kwa nusu saa tu kwa siku 5 kwa wiki ndani ya wiki 4 halafu jipime kwa kamba au uzito utagundua umepingua km utahisi huwezi tafuta vidonge vinaitwa GELATIN
 
Dr kanyas mtaalamu wa mitishamba ..anatibu maradhi yote pia ana dawa kwa ajili kutoa kitambi na kupunguza unene....pia ana dawa kwa ajili ya nguvu za kiume na kurefusha uume....mtafute kipitia 0744069527
Tatizo la hawa ma docta ukimtembelea unakuta nae ana kitambi kimemuelemea mpaka hawezi hata kuamka kukukaribisha amechoka kama likua anajifunza mbinu za medani
 
Tatizo la hawa ma docta ukimtembelea unakuta nae ana kitambi kimemuelemea mpaka hawezi hata kuamka kukukaribisha amechoka kama likua anajifunza mbinu za medani
mi ni tofauti ni slim but strong
 
Unakuta docta anakitambi mpaka unajiona wewe ndio docta unatakiwa umpe ushauri yeye
hahaaaa kweli mkuu wengine ni majanga anaekushauri anakuwa tofauti na uhalisia wa ushauri anaokupatia
 
mkuu ze big mi si daktari bali nilikuwa muathirika wa kitambi na nundu lakini nilipata mtaalamu wa ukweli akanishauri cha kufanya ambacho kwa uchache nimeshiriki kukiandika
 
Kuna wakati unatamani kiishe....kuna wakati unaona ngoja nikipunguze kuna wakati unaona famililai cha muhimu ni kuumudu mwili wako na mazoezi mepesi ya kupata pumzi na stamina na kuna wakati unaona bora kibaki yote haya yako mikononi mwako ukitaka kiondoke kinaondoka na ukitaka kibaki kinabaki😉
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…