Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

Halafu najua utakuwa umehadithiwa,umekuja kama vile kunisema mie geni,kuacha siachi na yeye hawezi acha mapenzi yao yametukuta bana,mtu fake id unapaparika simple tu kafungua ingine ile kakuacha nayo uhangaike nayo shoga,siku wanawake tukipata akili matatizo yote duniani yataisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yashakukuta kumbee! Pole sana!
 
Hamna amu wala hata sikusemi wewe na wala sijui nini kinaendelea kwako!ila ishu nyingine kabisaa tu!

Trust me hili jambo nimelizungumza kwa kua limenitokea mie mwenyewe ujue
 
Wanawake bwana ndo wanaongoza kwa wivu wa kijinga humu. Na vile kufungua Id ni bure ukimmind bby kuquotiana na mzigua anafungua Id ingine tunaquotiana tena kama kawa kama dawa yaaani.
 
Haki mzigua wewe chizi ujue,halafu nimegundua humu ndani kumbe hizo couple zinakulana kweli kweli,zamani ilikuwa chit chat tu ila kumbe sikuhizi kwelikweli,imebidi niwe makini na post
Wanawake bwana ndo wanaongoza kwa wivu wa kijinga humu. Na vile kufungua Id ni bure ukimmind bby kuquotiana na mzigua anafungua Id ingine tunaquotiana tena kama kawa kama dawa yaaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…