Wenye wake wawili, watatu au wanne, mnapangaje ratiba ya kushiriki tendo la ndoa?

Wenye wake wawili, watatu au wanne, mnapangaje ratiba ya kushiriki tendo la ndoa?

miss chagga;
Sikupingi mawazo yako ila, weye hufahamu haya yanayozungumziwa hapa. Mgalatia na hii sunna wapi na wapi?? Kuoa wake wengi ni muhimu ka kula chakula cha mchana. Wale wasiojua umuhimu ndo utawaona hapa wakilipinga Neno la Allah!
Huduma yao sio kilo ya nyama tu, tunawahudumia vyoote sawa sawa. Kila mmoja anapata sawa na mwenzake tena bila shida yeyote. Mwanamume rijali aweza kuwaridhisha wake 10 kila siku bila shida. Shida inakuja, ukianza kusumbuliwa nao kwa mahitaji yasiyo muhimu ka vile saloon na mavazi ya kifahari. Ajiulize, anaenda nayo wapi?? Yule ni wangu tu wala hakuna mwanaume mwingine anastahili kuuona hata huo mkono wake acha mguu. Mwanamke mcha Mungu hajisumbui na malimwengu
Umeniongezea kaujuzi
 
Umeniongezea kaujuzi

Poa usijali ila yataka kamoyo flan hivi. Miili yetu nayo ina manjonjo yake. Siku umekula vizuri unatamaki mtu wa kukusugua kidogo kumbe siyo zamu yako. Ukute ni chumba cha pili tu yupo. Yataka kamoyo flan hivi
 
Poa usijali ila yataka kamoyo flan hivi. Miili yetu nayo ina manjonjo yake. Siku umekula vizuri unatamaki mtu wa kukusugua kidogo kumbe siyo zamu yako. Ukute ni chumba cha pili tu yupo. Yataka kamoyo flan hivi
Khee basi bora mmoja
 
Kuhusu wivu wa asili tinajaribu kuwalingania kwa mfano siku ya kwenda kufanya shopping naenda nao wote kuhusu matumizi Kila mtu namuachia kutokana na mahitaji yake kwa mfn mke mwenye watoto wawili na na asiyekua na mtoto katika mahitaji hawalingani maana kwenye watoto inaitajika kilo ya mchele pale pasipo na watoto ukipeleka kilo hyo inakua isiraf kwa hyo mahitaji hayafanani Kuna kitu kinaitwa uadilif hapa ni kwenye kutembez anzirani ukiwa kimoja chali toa talaka mapema maan sifa ya kua na mke Zaid ya mmoja utakua umefel
 
Back
Top Bottom