Wenye wapenzi Kinondoni mnajiamini nini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sahiv waturud kijijini kuoa
 
Kinondoni wahudumu wa baa 99% ni wauzaji
Wengine hawana hata mishahara
 

Unaweza kutupa mipaka ya Kinondoni? Maana mini naishi kinondoni ila Hakuna hao Malaya, hiyo Sio sehemu ndogo tu ya Kinondoni?
 
Sio kinondoni ya siku hizi hakuna kitu wameisha kabisa. Wale wa mitaa ya Meridian Maasai pale hawapo na kuna wale walikuaga chimbo la Vijana pale panajengwa wamekimbia, ukienda mpk kule 4ways ndo kabisaaa mnajikuta vidume tupu. Kinondoni ya mademu ni Ile ya zamani Sana ndo ilikua mzuka.
 
Kinondoni ni mahakama ya kukomesha na kupunguza stress ni sehemu nyeti katika taifa letu. Tuipe umuhimu na heshima ya kipekee
 
Kikao cha wanaume kimeadhimia kwamba, kamati maalumu itapita Kinondoni na kujiridhisha kabla ya kuja na tamko la mwisho
 
Jana nimepita Sinza kuanzia Mlimani City hadi Kitambaa Cheupe kwa miguu. Nina siku nyingi sana sijatembea uko nikataka nijue biashara mpya zilizoanzishwa nipate kujua kitu, . Bwana wee, wale malaya wakiona unatazama kwa umakini wanajua unawatafuta wao. Jana nikaitwa pochi nene, boss na majina ya pesa mengi njiani. Ajabu nikifika mahala kabla kidogo ya Kitambaa Cheupe nikakuta malaya wanachoma vitu moto na wananifukisha sehemu za siri. Wako sehemu wazi hawana habari mida ya saa tano usiku hiyo.

Nikajiuliza hawa wadada ambao nawaona kwa haraka wanavutia je hakuna mtu anapigwa na kitu kizito kichwani anadate na muuzaji bila kujua. Ule mwendo nilitumia dakika kama 24 ila malaya zaidi ya 10 nimewaona, wengine unaona ni mrembo yupo out ila hujui yawezekana anauza pia. Alafu jana mbona Kitambaa ilijaa sana, na pale nje wauzaji kama wote
 
Sinza huko ni hatari tupu dar ukitembea night Kwa miguu utaona vitu vingi sana vya ajabu ajabu
 
Kikao cha wanaume kimeadhimia kwamba, kamati maalumu itapita Kinondoni na kujiridhisha kabla ya kuja na tamko la mwisho
Hapa kuna njemba tayari zimeshapata machimbo mapya ya kwenda kula nyapu [emoji23][emoji23].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…