Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo..
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako anakwambia haya jiangalie;
1. Ukimpgia simu, utaskia honey niko lecture
2. Then leo rafiki yangu ana mgeni usipige
3. Niko kwenye pepa na zinafanyika siku nzima.
Kumbeeee.....
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako anakwambia haya jiangalie;
1. Ukimpgia simu, utaskia honey niko lecture
2. Then leo rafiki yangu ana mgeni usipige
3. Niko kwenye pepa na zinafanyika siku nzima.
Kumbeeee.....