Wenye wapenzi vyuo vikuu, ukiyaona haya kaa tayari...

Wenye wapenzi vyuo vikuu, ukiyaona haya kaa tayari...

Andrew Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
330
Reaction score
117
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo..
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako anakwambia haya jiangalie;
1. Ukimpgia simu, utaskia honey niko lecture
2. Then leo rafiki yangu ana mgeni usipige
3. Niko kwenye pepa na zinafanyika siku nzima.
Kumbeeee.....
 
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo..
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako anakwambia haya jiangalie;
1. Ukimpgia simu, utaskia honey niko lecture
2. Then leo rafiki yangu ana mgeni usipige
3. Niko kwenye pepa na zinafanyika siku nzima.
Kumbeeee.....

hyo namba 2 rafiki yangu ana mgeni ndo inatishia amani, maana mweny mgen siyo rafki ake ni yeye
 
Hivi wapendwa hamjui kuwa chuo wasichana wengi hupata degree zisizo zao kwa kufanyiwa assignment!!!! Na huwa nao wa aina tatu 1. wa madesa {masomo} 2. wa cafeteria{ yaani masuala ya mapolokochoko manjale-misosi} 3. wa ukwelikwa hiyo jitathimini wewe uko wapi?
 
Mahusiano hasa ya mapenzi. Mapenzi hayangalii kuna wanaume walioko vyuoni wakabahatika kupata wapenzi huko na wasio wanachuo wakapata wanawake wa chuo..
Sasa uliye na mpenz chuo ukiona mpenz wako anakwambia haya jiangalie;
1. Ukimpgia simu, utaskia honey niko lecture
2. Then leo rafiki yangu ana mgeni usipige
3. Niko kwenye pepa na zinafanyika siku nzima.
Kumbeeee.....

Additional point: mi yashanikuta kama hayo bana kule "SUA", kale kabinti bwana kila nikikacall kana sema kapo buzy mpaka 2300hrs night, weekend kanasema kana paper all days, mala kana meeting na department/lectures, sim kaiacha charge, sim kaisau room, sim alimpa room, sim alimuachia jirani yake, mala sim itakata sasa hivi aina charge apo saa 22oohrs-2300hrs. kumbuka apo mtu umemsaidia for 6yrs alafu ana kudelete kisela iINAUMA KINOMA.
 
Additional point: mi yashanikuta kama hayo bana kule "SUA", kale kabinti bwana kila nikikacall kana sema kapo buzy mpaka 2300hrs night, weekend kanasema kana paper all days, mala kana meeting na department/lectures, sim kaiacha charge, sim kaisau room, sim alimpa room, sim alimuachia jirani yake, mala sim itakata sasa hivi aina charge apo saa 22oohrs-2300hrs. kumbuka apo mtu umemsaidia for 6yrs alafu ana kudelete kisela iINAUMA KINOMA.
Maumivu ndio inaumiza sana!
Utaamua maamuzi mabaya...bora usamehe!.
 
Duuuh! yangu macho, hapo kwenye issue ya Cafeteria mmmmh!
 
Colag iz 4 knoleddg and knoledg iz 4 lyf,lyf iz 4 wif bt smtym wif can b a knf which can cut ua lyf.
 
Hivi wapendwa hamjui kuwa chuo wasichana wengi hupata degree zisizo zao kwa kufanyiwa assignment!!!! Na huwa nao wa aina tatu 1. wa madesa {masomo} 2. wa cafeteria{ yaani masuala ya mapolokochoko manjale-misosi} 3. wa ukwelikwa hiyo jitathimini wewe uko wapi?

Hayo ndiyo mafiga matatu kaka, asilimia kubwa ya wakina dada walioko vyuoni wako kwenye staili za namna hii. Mimi nilipata uzoefu kwa wadada niliokuwa nao chuoni.
 
kazi mnayo wapangwaji,kwa stahilli hii ngoma kuisha ni hadithi
 
Additional point: mi yashanikuta kama hayo bana kule "SUA", kale kabinti bwana kila nikikacall kana sema kapo buzy mpaka 2300hrs night, weekend kanasema kana paper all days, mala kana meeting na department/lectures, sim kaiacha charge, sim kaisau room, sim alimpa room, sim alimuachia jirani yake, mala sim itakata sasa hivi aina charge apo saa 22oohrs-2300hrs. kumbuka apo mtu umemsaidia for 6yrs alafu ana kudelete kisela iINAUMA KINOMA.
pole mkuu, wengi huwa wanajisahau sana na kuwasahau wale wanaowapenda kweli, mapenz ya chuo yana usanii mwingi sana lakn kwa upande we2 wakina dada wengi wao wanajihusisha na wapenz wengine kwa kutaka maisha flan ambayo hana uwezo nayo, kibaya zaid wasichana wa namna hii wanaishia kwenda na mibaba mikubwa tena yenye wake na watoto.
 
Back
Top Bottom