Ngopyoro city
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 144
- 220
Habari wakuu poleni na majukumu ya kujenga Taifa Mana wazee tunapambana paka inafikia muda unasema sijui niende kigoma kucheki nyota kwanza[emoji16]
By the way nilikua na mission za kununua samaki na kwenda kuuza pale makambako samaki nawatoa bonde la mto kilombero sehemu moja inaitwa gundu mzigo unapatikana fresh sema changamoto ndogo ndogo ila unakomaa nazo ila wakinga wale wachawi balaa anakupa buku mbili alafu baada ya mauzo jioni pesa huna[emoji16][emoji16]
Aaaaah kuna mdau kanilengesha biashara ya kuchukua vitunguu pale singida nikaona iko fresh ameniambi soko ni kahama au Arusha ila kahama ndio pazuri kwa sisi wazee wa kuuza kwa jumla yani unafiksh mzigo unakomaa na dalali alafu muda ya jioni mnapiga hesabu zenu unadandia ndinga kufata mzigo mengine
Sasa wadau wa kahama vipi masoko ya Hapo yanaweza ku accommodate hizi mission mfano nikija na gunia 50 za vitunguu naweza kuuza kwa mda gani bei ya jumla na bei zikoje kwa huko? Pia kama kuna ushauri na maoni yoyote yale hakuna budi kunishauri wazee wenzangu
Natanguliza shukrani huku tukiendelea kupambana na hii hali Mana kwa hii mitano iliyopita Hali ilikua mbaya Sana Sasa hii mitano mingine ni hatari mtaani hapakaliki yani ugali moto ,mboga moto wenye degree Hali ni mbaya zaidi wote wamekua madalali[emoji16][emoji16] au nasema uongo ndugu zangu?
By the way nilikua na mission za kununua samaki na kwenda kuuza pale makambako samaki nawatoa bonde la mto kilombero sehemu moja inaitwa gundu mzigo unapatikana fresh sema changamoto ndogo ndogo ila unakomaa nazo ila wakinga wale wachawi balaa anakupa buku mbili alafu baada ya mauzo jioni pesa huna[emoji16][emoji16]
Aaaaah kuna mdau kanilengesha biashara ya kuchukua vitunguu pale singida nikaona iko fresh ameniambi soko ni kahama au Arusha ila kahama ndio pazuri kwa sisi wazee wa kuuza kwa jumla yani unafiksh mzigo unakomaa na dalali alafu muda ya jioni mnapiga hesabu zenu unadandia ndinga kufata mzigo mengine
Sasa wadau wa kahama vipi masoko ya Hapo yanaweza ku accommodate hizi mission mfano nikija na gunia 50 za vitunguu naweza kuuza kwa mda gani bei ya jumla na bei zikoje kwa huko? Pia kama kuna ushauri na maoni yoyote yale hakuna budi kunishauri wazee wenzangu
Natanguliza shukrani huku tukiendelea kupambana na hii hali Mana kwa hii mitano iliyopita Hali ilikua mbaya Sana Sasa hii mitano mingine ni hatari mtaani hapakaliki yani ugali moto ,mboga moto wenye degree Hali ni mbaya zaidi wote wamekua madalali[emoji16][emoji16] au nasema uongo ndugu zangu?