Wenyeji wa Kahama

Karibu jiji la raha na bata.club now ni tatu tuu ..chillers,d4n, na magic 101 anajikongoja kuhusu pakula KAHAMA ndo eneo lenye lodge mingi kuliko hata dar
yaan bora ungeandika tu majina ya club kuliko kuweka na picha

yaani ulivyoweka picha ndio umeharibu kabisaaaaa

sasa hizo club gani jaman yaani hujiskii vibaya ku post hivyo vi jumba vya kufugia ndege

halafu namna hiyo ndio muifananishe kahama na njombe ?
 
Kuna nini wana mbona kila mtu anashauri condom!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…