Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
- Thread starter
- #21
Mdau hata mie shemeji yangu amepangwa huko huko, ila cha msingi n wewe kuzngatia n kipi ulchokifuata, suala la uchawi lipo,tena kubwa tu...so uwe makini na raia utakawakuta.
Nb: wadau mi n new member, jaman nisaidie if i want to start my thread nafanyaje??
nashkur mkuu kwa kunijaza mahope. Pia napenda kutumia nafas hii kwa niaba ya wanajamvi wenzang kukukaribisha hapa kwetu JF. Then ukitaka kuanzisha thread kuna kaeneo hapo juu kameandikwa NEW TOPIC bas hako mkuu katakufaa zaid. Karb