Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ubunifu mzuri, hongeraHongereni sana kwani mmewaza sawa sawa maana haikuwa kazi rahisi na hata sisi wengine humu mitandaoni tulipendekeza kitu chenye kufafana na hiki:
View attachment 1485148
Hii ni kumbukumbu muhimu sana kwake,kwa watoto wake,wajukuu zake na kwa wapenda mabadiliko wote wa kizazi kijacho.Ubunifu mzuri, hongera
[emoji23]safi sana. ila mkuu Salary Slip boresha heading. danadana chumba kizima [emoji28]
Nniliwahi pendekeza hivi mkuu:safi sana. ila mkuu Salary Slip boresha heading. danadana chumba kizima 😅
Wameanza kampeni ya ubunge vyeti Wamego printia wenyewe internet cafe halafu wanagawiana wenyewe. Mbona utoto. wao wenyewe ndio viongozi wa kanda halafu wenyewe wanajigawia vyeti vya heshima. Chadema mna matatizoPongezi kwa hao wenyeviti na CHADEMA kwa ujumla maana kuwa kiongozi kwa awamu hii na mitikisiko yote lakini wameendelea kuwa imara kwa miaka yote mitano hakika ni uongozi uliotukuka.
Pongeza == PongeziHongereni sana kwani mmewaza sawa sawa maana haikuwa kazi rahisi na hata sisi wengine humu mitandaoni tulipendekeza kitu chenye kufafana na hiki:
Wabunge wa Bunge la 11 na waliokuwa wenyeviti wa halmashauri kwa tiketi ya CHADEMA katika kanda ya serengeti leo wametunukiwa vyeti vya heshima kwa utumishi uliotukuka kwa kipindi cha miaka 5 ya uongozi wao bila kuunga juhudi mkono-Martin M.M on twitter.
View attachment 1485181
View attachment 1485148
Hiyo sio kampeni na haitaji elimu kubwa kufahamu madhila waiokumbana nayo viongozi wa CHADEMA ndani ya awamu ya tano na bado waliendelea kusimama hawakutetereka, wakitunukiwa hivyo vyeti ni sahihi tu.Wameanza kampeni ya ubunge vyeti Wamego printia wenyewe internet cafe halafu wanagawiana wenyewe. Mbona utoto. wao wenyewe ndio viongozi wa kanda halafu wenyewe wanajigawia vyeti vya heshima. Chadema mna matatizo