Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
Serikali inafanya kazi yake, watendaji wanatushangaza Sana. Alianza Mh Rais akasema waache. Wakavamia kunduchi. Lahaullah! Mkuu wa mkoa ametangaza jeshi la police likawataka wakuu wa vituo na wananchi washirikiane, Cha ajabu Kuna mitaa imekaa kimya.
Kwa mtaa nilipo mie hata wakija Leo wanapitisha mapanga, tunashukuru tu kwamba maeneo haya wenye miguu ya kuku ni wengi so hata meseji watoto wenjyeji wanapeana kukaa mbali na nyumba za watu.
Lakini haitoshi nilitegemea baada ya kurejea kutoka mkoa Jana nisikie wamekaa. Nafikiria Kuonana na wahusika nihoji kimya hicho Cha nini.
Hivi vitoto vipuuz mida kama hii vimelala sijui wapi..hiv hakuna ananayejua vilipo Ili vipotee maana hakuna namna
Kwa mtaa nilipo mie hata wakija Leo wanapitisha mapanga, tunashukuru tu kwamba maeneo haya wenye miguu ya kuku ni wengi so hata meseji watoto wenjyeji wanapeana kukaa mbali na nyumba za watu.
Lakini haitoshi nilitegemea baada ya kurejea kutoka mkoa Jana nisikie wamekaa. Nafikiria Kuonana na wahusika nihoji kimya hicho Cha nini.
Hivi vitoto vipuuz mida kama hii vimelala sijui wapi..hiv hakuna ananayejua vilipo Ili vipotee maana hakuna namna