Wenyewe mupo!

Wenyewe mupo!

Vivica

New Member
Joined
Jun 23, 2010
Posts
4
Reaction score
0
Hello wana JF, am a new member in da forum.
hi to all.
 
Tupo welcome JF karibu sana jamvini
 
tupo...KARIBU SANA MKUU!..Lakini umesoma vizuri sheria zetu huko nyuma?
 
karibu janvini hebu FL1 sogea kidogo hapa na huyu akae
 
Habari wana jf, niliingia bila kuwajulia hali nafikiri wote mko poa! Nishaanza kuinjoy mabo ya jf
 
Tupo........Tupo kabisa............Jeuri ya JF..........Yeba waaa

Hahaaaaaaaa.....lol

Karibu mkuu
 
Habari wana jf, niliingia bila kuwajulia hali nafikiri wote mko poa! Nishaanza kuinjoy mabo ya jf

Karibu dada yetu, ila umendandia sehemu ya watu ungeomba utaburisho wako mwenyewe hapa VIVICA ndo kaomba kukaribishwa
 
Back
Top Bottom