Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mkiambiwa katiba mpya ndio dawa mnaziba masikio, mkiambiwa lindeni kura mnasema mmemaliza kazi, mkiambiwa andamaneni kuonyesha kukataa mambo ya namna hiyo mnasema ni vurugu! Na bado, yajayo yanafurahisha!Hakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.
Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.
Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?
Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.
Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.
"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Nimependa Regina Lowassa alivyojibu kwa busara alipopewa nafasi ya viti maalumu na Chadema.Huyo mama aliepeleka muswada kiwango chake cha tamaa nilikiona alipoenda kugombea ubunge kwao; ni mtu asietosheka na mali.
Mwenzake Regina Lowassa alivyopewa viti maalum aliwaambia CDM hiyo nafasi anastahili mtu mwengine anayehiitaji zaidi yangu.
Mtu ana kila kitu lakini atosheki tu
Nchi ni yetu sote mamii, tuendelee kupaza sauti na vitendo pia kuonesha kutoridhishwa kwetu. Swala la kudai KATIBA mpya ni muhimu zaidiKuna vitu vinajaza sana uchungu moyoni ulivifikiria.....anyways nchi ni yao
Mkuu unamsingizia Jakaya bure, punguza chuki naye! Jakaya hapitishi wala kupiga kura ya ndio bungeni. Mkewe na mwanaye wana kura 2 kati ya kura 360, hata wewe unaona hili liko sawa kweli??!Inaonekana wazi Kikwete na famia yake ni waoga wa maisha.Kikwete ni rais mstaafu. Lakin kila mradi muhimu wa serikali anautaka. Safari za Mama Samia, nje ya, nchi anazitaka.Amepigania mpaka mtoto wake pia ni mbunge, na naibu wazir. Mke wake ni mbunge.
Watoto wa marafiki zake amewapigania ni wabunge na pia ni mawazir.Sasa ameona, hiyo haitoshi amemshauri mke wake, aweke hoja bungeni kuomba, mafao ya, wake za, viongozi.
Mheshimiwa, Kikwete Senior sio sawa, mnachowafanyia watanzania. Tunakuomba sana, utumie ushawishi ule ule kwa mama Samia kuomba hoja ya mafao kwa wake wa viongozi itolewe.
Kama itaendelea kuwepo hadithi yako huku nyuma na mke wako itakuwa mbovu sana.
Nchi nyingi ili uwe tajiri fanya biashara, Tanzania ili uwe tajiri kuwa kiongozi wa CCM! Wapewe tu mpaka siku watanzania tutakapopata akili.Hakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.
Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.
Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?
Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.
Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.
"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Mkuu huyo mbunge kapendekeza hoja bungeni, ikapita analaumiwaje? JK anaingiaje kwenye hili? Kuwaingiza vijana bungeni kivipi yeye ndiye kwapigia kura majiboni?Naona umesahau tu ndugu yangu, kumlaumu tu Magufuli. Huyu mama sio Mbunge wa, viti maalum. Ni mbunge wa, kuchaguliwa huko kwao.
Sisi wananchi ndiyo wajinga maana hatujitambui jamaa wanapiga pesa za ummaHakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.
Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.
Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?
Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.
Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.
"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Zee pumbavu sana lileInaonekana wazi Kikwete na famia yake ni waoga wa maisha.Kikwete ni rais mstaafu. Lakin kila mradi muhimu wa serikali anautaka. Safari za Mama Samia, nje ya, nchi anazitaka.Amepigania mpaka mtoto wake pia ni mbunge, na naibu wazir. Mke wake ni mbunge.
Watoto wa marafiki zake amewapigania ni wabunge na pia ni mawazir.Sasa ameona, hiyo haitoshi amemshauri mke wake, aweke hoja bungeni kuomba, mafao ya, wake za, viongozi.
Mheshimiwa, Kikwete Senior sio sawa, mnachowafanyia watanzania. Tunakuomba sana, utumie ushawishi ule ule kwa mama Samia kuomba hoja ya mafao kwa wake wa viongozi itolewe.
Kama itaendelea kuwepo hadithi yako huku nyuma na mke wako itakuwa mbovu sana.
Hivi Wizi huu wa hawa Wenza hauwezi kipingwa Mahakamani japo Mahakama zinasubiri maelekezo kutoka JUU?Zee pumbavu sana lile
Mahakama ni toilet paper ya ccm na viongoziHivi Wizi huu wa hawa Wenza hauwezi kipingwa Mahakamani japo Mahakama zinasubiri maelekezo kutoka JUU?
Una umri gani?Mkuu huyo mbunge kapendekeza hoja bungeni, ikapita analaumiwaje? JK anaingiaje kwenye hili? Kuwaingiza vijana bungeni kivipi yeye ndiye kwapigia kura majiboni?
Kwakweli nchi tunaambiwa masikini ila matumizi ya anasa kila siku kwakweli wawe na aibu mimi nikiwaambiaga watu bora tungeendelea tu kutawaliwa na wazungu mnaleta ujuaji ooh uzalendo haya hao wazalendo wetu wanaoga hela huku sisi tunazidi kutaabika mara maji mara umeme watoto wetu wakimaliza chuo hakuna ajira yani ahida juu ya shida banks interests zipo juu huku wao wakikopeshana hela bila ya riba kwenye mifuko aisee
Iko waziMahakama ni toilet paper ya ccm na viongozi