Wenza nao kulipwa mamilioni halikubaliki viongozi muogopeni Mungu

Wenza nao kulipwa mamilioni halikubaliki viongozi muogopeni Mungu

Hakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.

Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.

Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?

Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.

Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.

"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Mkuu mkiambiwa katiba mpya ndio dawa mnaziba masikio, mkiambiwa lindeni kura mnasema mmemaliza kazi, mkiambiwa andamaneni kuonyesha kukataa mambo ya namna hiyo mnasema ni vurugu! Na bado, yajayo yanafurahisha!
 
Huyo mama aliepeleka muswada kiwango chake cha tamaa nilikiona alipoenda kugombea ubunge kwao; ni mtu asietosheka na mali.

Mwenzake Regina Lowassa alivyopewa viti maalum aliwaambia CDM hiyo nafasi anastahili mtu mwengine anayehiitaji zaidi yangu.

Mtu ana kila kitu lakini atosheki tu
Nimependa Regina Lowassa alivyojibu kwa busara alipopewa nafasi ya viti maalumu na Chadema.
 
Kuna vitu vinajaza sana uchungu moyoni ulivifikiria.....anyways nchi ni yao
Nchi ni yetu sote mamii, tuendelee kupaza sauti na vitendo pia kuonesha kutoridhishwa kwetu. Swala la kudai KATIBA mpya ni muhimu zaidi
 
Inaonekana wazi Kikwete na famia yake ni waoga wa maisha.Kikwete ni rais mstaafu. Lakin kila mradi muhimu wa serikali anautaka. Safari za Mama Samia, nje ya, nchi anazitaka.Amepigania mpaka mtoto wake pia ni mbunge, na naibu wazir. Mke wake ni mbunge.

Watoto wa marafiki zake amewapigania ni wabunge na pia ni mawazir.Sasa ameona, hiyo haitoshi amemshauri mke wake, aweke hoja bungeni kuomba, mafao ya, wake za, viongozi.

Mheshimiwa, Kikwete Senior sio sawa, mnachowafanyia watanzania. Tunakuomba sana, utumie ushawishi ule ule kwa mama Samia kuomba hoja ya mafao kwa wake wa viongozi itolewe.

Kama itaendelea kuwepo hadithi yako huku nyuma na mke wako itakuwa mbovu sana.
Mkuu unamsingizia Jakaya bure, punguza chuki naye! Jakaya hapitishi wala kupiga kura ya ndio bungeni. Mkewe na mwanaye wana kura 2 kati ya kura 360, hata wewe unaona hili liko sawa kweli??!

Sheria hiyo imepitishwa kipindi cha Mwendazake kama sheria nyingi za hovyo zilivyopitishwa.
 
Hakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.

Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.

Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?

Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.

Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.

"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Nchi nyingi ili uwe tajiri fanya biashara, Tanzania ili uwe tajiri kuwa kiongozi wa CCM! Wapewe tu mpaka siku watanzania tutakapopata akili.
 
Wanasiasa ngozi nyeusi ni wabinafsi mno.

Kuna wastaafu wengi tu wa toka 2019 bado wanasotea mapunjo ya mafao yao kisa serikali/DEDs hawapeleki michango ya wanachama kwenye mifuko.

Hata kule kufikiria tu mambo ya wenza wao kwenye mazingira kama haya ni fedheha.
 
Naona umesahau tu ndugu yangu, kumlaumu tu Magufuli. Huyu mama sio Mbunge wa, viti maalum. Ni mbunge wa, kuchaguliwa huko kwao.
Mkuu huyo mbunge kapendekeza hoja bungeni, ikapita analaumiwaje? JK anaingiaje kwenye hili? Kuwaingiza vijana bungeni kivipi yeye ndiye kwapigia kura majiboni?
 
Hawawezi kutuelewa, hawana shida ya maji, umeme, miundo mbinu, afya, malazi wala chakula.
Watoto na mama zao wanaishi kifalme!
Hamshangai wakidai AMANI AMANI AMANI?!
ILI WAZIDI KUFAUDU...
 
Hakika nimeshtushwa na Taarifa ya WENZA wa Viongozi Wakuu wa NCHI nao KULIPWA MAMILIONI ya Fedha.

Viongozi wetu hebu jaribuni KUMWOGOPA MUNGU wananchi mnaowaongoza ni Masikini sana wanaishi kwa MLO mmoja hizo Fedha mnazotaka WENZA wenu WALIPWE ni KODI za hao MASIKINI ambao hata Mlo wao wa Kesho hawaujui.

Kwanini hayo MAMILIONI yasipelekwe KUWAAJIRI WATOTO wa hao MASIKINI ili wawatunze Wazazi wao?Kuna MWENZA mmoja mumewe ni Rais Mstaafu ambaye pamoja na kustaafu analipwa MAFAO yake kila Mwezi na huyo Mwenza ni MBUNGE analipwa POSHO na MISHAHARA kila Mwezi nayo ni Mamilioni je hiyo ni Haki kweli?

Hebu VIONGOZI wetu kuweni na HURUMA kwa Masikini Wananchi wenu.

Kumbukeni na Maandiko Matakatifu ya Dini.

"Tulikuja watupu Tutarudi kwake Watupu" HAYO MAMILIONI mnayojilimbikizia mtaenda nayo wapi?
Sisi wananchi ndiyo wajinga maana hatujitambui jamaa wanapiga pesa za umma
 
Inaonekana wazi Kikwete na famia yake ni waoga wa maisha.Kikwete ni rais mstaafu. Lakin kila mradi muhimu wa serikali anautaka. Safari za Mama Samia, nje ya, nchi anazitaka.Amepigania mpaka mtoto wake pia ni mbunge, na naibu wazir. Mke wake ni mbunge.

Watoto wa marafiki zake amewapigania ni wabunge na pia ni mawazir.Sasa ameona, hiyo haitoshi amemshauri mke wake, aweke hoja bungeni kuomba, mafao ya, wake za, viongozi.

Mheshimiwa, Kikwete Senior sio sawa, mnachowafanyia watanzania. Tunakuomba sana, utumie ushawishi ule ule kwa mama Samia kuomba hoja ya mafao kwa wake wa viongozi itolewe.

Kama itaendelea kuwepo hadithi yako huku nyuma na mke wako itakuwa mbovu sana.
Zee pumbavu sana lile
 
Unawatajia hawa CCM kuhusu MUngu?
CCM ilishaachana na Mungu miaka mingi ndugu!
Sasa hivi wako na yule aliye "kinyume na Mungu" ndio maana mambo yao yanafanana na 'yule mwovu'
 
Kwakweli nchi tunaambiwa masikini ila matumizi ya anasa kila siku kwakweli wawe na aibu mimi nikiwaambiaga watu bora tungeendelea tu kutawaliwa na wazungu mnaleta ujuaji ooh uzalendo haya hao wazalendo wetu wanaoga hela huku sisi tunazidi kutaabika mara maji mara umeme watoto wetu wakimaliza chuo hakuna ajira yani ahida juu ya shida banks interests zipo juu huku wao wakikopeshana hela bila ya riba kwenye mifuko aisee
 
Back
Top Bottom