Wenza wa watumishi wa Serikali nao walipwe Mafao

Wenza wa watumishi wa Serikali nao walipwe Mafao

Kama mwenza wa Rais anapata kiinua mgongo hata watumishi wengine wana haki kwa sababu mwenza wa Rais sio mtumishi wa serikali iweje apewe malipo na serikali? Kama hoja ni kumtuliza Rais hata engineer anatulizwa na mkewe au mumewe arudipo nyumbani.
Tena hili ndio litakuwa jema zaidi kwani wapo wengi hvyo jamii kubwa itafaidi kipitia hao wenza kuliko hao wachache wasio wengi
 
Ndiyo hata wale ambao wake zao ni hao waume zao walipwe
 
Ukifatilia siasa za nchi hii zinaumiza mwili na roho kwakweli.
 
Sijawahi ona nchi inayoendekeza ujinga ujinga kama hii wallah!
 
Hii ni sheria ya kiporaji na udhalimu mkubwa mno.Hii nchi mapesa mengi yanapukutika kwenye anasa za wakubwa wetu.Nchi hii siasa ni biashara,ukipata uongozi ni fursa ya kutajirika.Na wataendelea kupukutisha pesa za umma kwa sheria za kinyang'anyi mpaka hapo Watz watakapoamka usingizini
 
Back
Top Bottom