Wenzangu hizi soda siku hizi mnaiyonaje ladha yake

Wenzangu hizi soda siku hizi mnaiyonaje ladha yake

Mimi pia namshukuru Mungu kwakweli nipo safi kabisa, nafurahi kukuona
Nafurahii pia kujua hujambo, Mungu ni mwaminifu sana jamani...
Asante kufurahi, nipo nipo nawatazama vijana!
 
Tuendelee kuepuka mikusanyiko sio na lazima kwa kipindi hichi tunachopitia Watanzania wenzangu.

Mimi ni mpenzi sana wa hizi soda, nikipata sehemu ya kupumzisha mwili basi lazima niagize kinywaji cha soda maana Gambe halipandi.

Changamoto ninayokutana nayo ni kwamba siku hizi soda sio tamu kabisa, yaan kuna muda unataman uiyache kabisa sema ndio hivyo utaonekana waring a.

Nimejaribu kunywa soda tofauti tofauti naona changamoto ni ile ile, soda hazina kabisa ladha jamani.

"" HUKO KWA WENZANGU VIPI, AU MDOMO WANGU UMEAMUA KUZIKATAA SODA??? ""

NB:Ugonjw huu sio wa kuchezea tuwe makini ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa na malaria nenda hospital unaumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli me ni mpenzi wa coca. Lakini sikuhizi siielewi kabisa, imekuwa haina ladha. Nimebak pepsi tu nako naona imepungua utamu sijui shida nini, au labda ulimi wangu ushazoe konyagi.

Siku soda ambazo hazina sukari ni nyingi kwa hiyo uwe unachagua ambayo haijaandikwa haina sukari


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnapenda sana vitu vitamu tamu, "Sisi wa Fanta Passion tunacomment wapi?" ladha bado ile ile [emoji41][emoji41]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Achana na soda.
Kunywa ASALI
IMG_20200411_065002.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mnapenda sana vitu vitamu tamu, "Sisi wa Fanta Passion tunacomment wapi?" ladha bado ile ile [emoji41][emoji41]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Mo passion umeacha?
 
Tuendelee kuepuka mikusanyiko sio na lazima kwa kipindi hichi tunachopitia Watanzania wenzangu.

Mimi ni mpenzi sana wa hizi soda, nikipata sehemu ya kupumzisha mwili basi lazima niagize kinywaji cha soda maana Gambe halipandi.

Changamoto ninayokutana nayo ni kwamba siku hizi soda sio tamu kabisa, yaan kuna muda unataman uiyache kabisa sema ndio hivyo utaonekana waring a.

Nimejaribu kunywa soda tofauti tofauti naona changamoto ni ile ile, soda hazina kabisa ladha jamani.

"" HUKO KWA WENZANGU VIPI, AU MDOMO WANGU UMEAMUA KUZIKATAA SODA??? ""

NB:Ugonjw huu sio wa kuchezea tuwe makini ndugu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hivi wewe bado unakunywa "sumu" za viwandani tu???!! Soda, beer, na vinywaji vyote (feezy drinks) ni sumu na ndiyo maana zina ladha kila siku tofauti kulingana na chemikali wanazojichanganyia hivyo, kifupi vinywaji hivyo ni sumu.
 
Back
Top Bottom