Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari wakuu,
sema humu ndani jf kuna raha sana..mimi napendelea kupitia machapisho ya watu na kusoma na kufurahia, sinaga hata cha kuandika maskini🙁🙁..
hv mnatoaga wapi mambo ya kuchapisha kila siku wenzangu.😵
asante mwenzanguPole sana...
Wewe ni ke au me?asante mwenzangu
hahah hapana ndugu yangu, nimewaza tu kwa sautiHiyo ndiyo kazi iliyokuleta humu?
KEWewe ni ke au me?
mweh ndio maana naona raha kupitia kuona mawazo ya bongo zenuTunayatoa ubongoni mwetu
Si uwe unapost udaku tu sasa..mbona kwa jinsia yako vipo vingi tu vya kupost
Mfano siku zake zimewahi huku mwez au zimechelewa!![emoji3] [emoji3] [emoji3]Si uwe unapost udaku tu sasa..mbona kwa jinsia yako vipo vingi tu vya kupost
Inatakiwa utafute mwana chit chat akuoemweh ndio maana naona raha kupitia kuona mawazo ya bongo zenu
Mpendwa changanya hisia na maono yako... utapata mada muafaka ya kutuandikia!!habari wakuu,
sema humu ndani jf kuna raha sana..mimi napendelea kupitia machapisho ya watu na kusoma na kufurahia, sinaga hata cha kuandika maskini🙁🙁..
hv mnatoaga wapi mambo ya kuchapisha kila siku wenzangu.😵
Kwani wewe hauna matukio ktk maisha yako?? Matukio ya kuandikq yapo kibao, ktk jamii au hata maisha yako au ya ndugu, jamaa na marafiki. Mfano, ebu anzisha uzi kuhusu ule mchepuko wako! Utashangaa mwenyewe umaandika gazeti na kujiuliza umeandikaje gazeti bila kujua.habari wakuu,
sema humu ndani jf kuna raha sana..mimi napendelea kupitia machapisho ya watu na kusoma na kufurahia, sinaga hata cha kuandika maskini🙁🙁..
hv mnatoaga wapi mambo ya kuchapisha kila siku wenzangu.😵
😀😀😀 ila kweli hata mada za hivo nazionaga humu, mara mtu haoni siku mara amemwagiwa sijui nje.. okay asante kwa kunipa mwongozoMfano siku zake zimewahi huku mwez au zimechelewa!![emoji3] [emoji3] [emoji3]
hahaha eh bana, afu na hii pia niifanyie kaziKwani wewe hauna matukio ktk maisha yako?? Matukio ya kuandikq yapo kibao, ktk jamii au hata maisha yako au ya ndugu, jamaa na marafiki. Mfano, ebu anzisha uzi kuhusu ule chepuko wako!
asante mpendwa ka ushauriMpendwa changanya hisia na maono yako... utapata mada muafaka ya kutuandikia!!
hahaha akinioa ndo nitapata cha kupost, eh?Inatakiwa utafute mwana chit chat akuoe
hahahaha safiicheki na soko lolote ulipo wanauza mada motomoto uchukue zako mada 3 uje uanzishe