Wenzetu waanza kupewa kadi za kuthibitisha wamepata chanjo ya Corona kama Jumuiya ya Kimataifa inavyoelekeza

Wenzetu waanza kupewa kadi za kuthibitisha wamepata chanjo ya Corona kama Jumuiya ya Kimataifa inavyoelekeza

Tulegee wakati msimamo ni uleule hakuna lockdown wala upuuzi wa mabwana zenu wa ubeligiji huku
hahah nani kawaambia muweke lock down??

Hapa tunajadili chanjo.

Mataga mtake msitake chanjo ni lazima.
tena nyie mataga tutawadunga sindano za utosini ili mpone na kifaduro.
 
Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.

Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?

Subiri uone hizo card zitakavyouzwa hapa kwetu kwa bei mbaya kama unataka kusafiri.
 
hahah nani kawaambia muweke lock down??

Hapa tunajadili chanjo.

Mataga mtake msitake chanjo ni lazima.
tena nyie mataga tutawadunga sindano za utosini ili mpone na kifaduro.
Si kwakua nyie mlishapewa chanjo za beberu maana mlikua mnalilia sana hadi mnatia huruma.............mkimaliza kujadili chanjo tafuta kingine maana hamuishiwagi na mada za kulialia hadi hii mitano iishe andaeni mada za kutosha za kulialia
 
Si kwakua nyie mlishapewa chanjo za beberu maana mlikua mnalilia sana hadi mnatia huruma.............mkimaliza kujadili chanjo tafuta kingine maana hamuishiwagi na mada za kulialia hadi hii mitano iishe andaeni mada za kutosha za kulialia
mataga Chanjo ni lazima.
 
Back
Top Bottom