Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
hahah nani kawaambia muweke lock down??Tulegee wakati msimamo ni uleule hakuna lockdown wala upuuzi wa mabwana zenu wa ubeligiji huku
Subiri uone hizo card zitakavyouzwa hapa kwetu kwa bei mbaya kama unataka kusafiri.Kama wote mlivyokwisha sikia kwamba kuna maeneo bila kuwa na ushahidi kwamba umechanjwa ili kujikinga na Corona hutakanyaga wala kutia pua yako, basi nchi zilizostaarabika na kuamua kufuata mwongozo wa WHO zimeanza kuwapa kadi za uthibitisho wa chanjo raia wake waliochanjwa ili wawe huru kupokelewa popote waendapo duniani.
Swali: Je, sisi Watanzania wengine ambao ni wafanyabiashara wa Kimataifa, tunaolazimika kusafiri hapa na pale duniani kwa sababu za kibiashara tufanyeje?
Si kwakua nyie mlishapewa chanjo za beberu maana mlikua mnalilia sana hadi mnatia huruma.............mkimaliza kujadili chanjo tafuta kingine maana hamuishiwagi na mada za kulialia hadi hii mitano iishe andaeni mada za kutosha za kulialiahahah nani kawaambia muweke lock down??
Hapa tunajadili chanjo.
Mataga mtake msitake chanjo ni lazima.
tena nyie mataga tutawadunga sindano za utosini ili mpone na kifaduro.
China ni ndugu zetu wa damu,nilipomsikiliza huyo jamaa kwa makini zaidi ndiyo nikajua kumbe alikuwa mlevi wa POMBE! Nikamdharau sanaSubirini hapo hapo Ufipa mtaletewa chanjo kutoka China!
Na wewe sijui ukoje aisee!! Hivi unamjibuje mtu kama huyo?Utaratibu wake ukoje mkuu?
mataga Chanjo ni lazima.Si kwakua nyie mlishapewa chanjo za beberu maana mlikua mnalilia sana hadi mnatia huruma.............mkimaliza kujadili chanjo tafuta kingine maana hamuishiwagi na mada za kulialia hadi hii mitano iishe andaeni mada za kutosha za kulialia