Hivi kumbe mema ya Wananchi kujiandikia KATIBA MPYA katika nchi ndio mambo hubadilika mara moja na inakua hivi kama ambavyo tunavyoona nchi jirani ya Kenya??
Jamani ni kama baba masikini (Kenya) kununulia watoto wake wote barabara za angani, viwanja vya ndege kama vya Ulaya, chanzo cha umeme wa uhakika na bei nafuu kama ya Urusi.
Halafu wewe mwenye baba tajiri wa kila kitu (Tanzania) ndio kwanza mnalala chini ya mti, ufisadi kila kona na watu kuwaza tu dili maofisini hakuna kufanya kazi, Uranium yako kuendeleza Iran, Vijana nguvu kazi kupelekwa kwenye ugaidi kwa ajili ya dini tu, basi tuuuu, taabu tuuuu!!!
Mungu tusaidie, CCM mnaodoka lini na sisi tuweke viongozi waadilifu tukapate na sisi maendeleo kutokana na rasilmali tele tulizojaliwa?
Yaani hadi wakati mwingine unaobora kuzamisha kizazi kizima cha viongozi wa CCM.