Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Sio gari hata watu. Mimi nilivyorudi Ulaya nilikuwa nang'aa kishenzi sasa hivi nimepauka balaa! Mazingira ya barabara,utunzaji ikiwemo matengenezo na huduma, gari inaoshwa kwenye mashine kwa maji na sabuni maalum,inapigwa wax,polish zote zinasaidia kutunza rangi na ustaarabu wa watu unachangia magari kuwa kama yalivyo.Unakuta gari imetembea km 80000. Hii gari unakuta ni ya mwaka 2000. Gari ukiiangalia unaiona kama bado mpya. Wakati mwingine mpaka zile karatasi za kwenye seat zipo. Kwa hapa kwetu tunaziita mpya.
Najiuliza maswali mengi sana. Mbona hizi gari ubora wake ni kama hazijatumika? Huyo aliyetumia aliona mapungufu gani mpaka akaamua kuliuza na kununua jingine? Gari za mwaka 2000-2005 zilizotembea km 80,000 zimetumika kwa muda gani mpaka mmiliki anapoamua kuuza? Maana hapa bongo nyingi ya gari zinazouzwa zina umri kati ya miaka 15-20.
Naomba kujua wenzetu matumizi ya magari wanatumiaje gari ya umri mkubwa inaonekana kama jipya.
Cc: RRONDO
Umepauka kwa sababu kutwa nzima unakimbia kimbia na kitimoto!![emoji53][emoji53][emoji53]....Aliekuambia kuwa kitimoto ni chakula ni nani?!Sio gari hata watu. Mimi nilivyorudi Ulaya nilikuwa nang'aa kishenzi sasa hivi nimepauka balaa! Mazingira ya barabara,utunzaji ikiwemo matengenezo na huduma, gari inaoshwa kwenye mashine kwa maji na sabuni maalum,inapigwa wax,polish zote zinasaidia kutunza rangi na ustaarabu wa watu unachangia magari kuwa kama yalivyo.
Duuu.Umepauka kwa sababu kutwa nzima unakimbia kimbia na kitimoto!![emoji53][emoji53][emoji53]....Aliekuambia kuwa kitimoto ni chakula ni nani?!
Rafiki i love you,tayari chura ipo?[emoji30]Duuu.
Angalia hiyo gari. Eti ina namba D. Hahahaha
Imegoma bna nasikia kitimoto inaongeza nataka nijaribu hiyo..Rafiki i love you,tayari chura ipo?[emoji30]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Imegoma bna nasikia kitimoto inaongeza nataka nijaribu hiyo..
Mkuu km 5000 miezi miwili unakuwa unaenda wapi..Majibu mazuri. Sasa gari ya umri wa miaka 15 inapokuwa imetembea km 80000 inakuwaje. Hii ni sawa na km 5300 kwa mwaka. Sasa kwa hali ya kawaida km 5300 kwa hapa kwetu ni safari ya miezi kama miwili.
Ulaya hukuwa na michepuko! (Haaaah! Haaah! Haaah! JAJ - Just a Joke)Sio gari hata watu. Mimi nilivyorudi Ulaya nilikuwa nang'aa kishenzi sasa hivi nimepauka balaa! Mazingira ya barabara,utunzaji ikiwemo matengenezo na huduma, gari inaoshwa kwenye mashine kwa maji na sabuni maalum,inapigwa wax,polish zote zinasaidia kutunza rangi na ustaarabu wa watu unachangia magari kuwa kama yalivyo.