Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Unakuta gari imetembea km 80000. Hii gari unakuta ni ya mwaka 2000. Gari ukiiangalia unaiona kama bado mpya. Wakati mwingine mpaka zile karatasi za kwenye seat zipo. Kwa hapa kwetu tunaziita mpya.
Najiuliza maswali mengi sana. Mbona hizi gari ubora wake ni kama hazijatumika? Huyo aliyetumia aliona mapungufu gani mpaka akaamua kuliuza na kununua jingine? Gari za mwaka 2000-2005 zilizotembea km 80,000 zimetumika kwa muda gani mpaka mmiliki anapoamua kuuza? Maana hapa bongo nyingi ya gari zinazouzwa zina umri kati ya miaka 15-20.
Naomba kujua wenzetu matumizi ya magari wanatumiaje gari ya umri mkubwa inaonekana kama jipya.
Cc: RRONDO
Najiuliza maswali mengi sana. Mbona hizi gari ubora wake ni kama hazijatumika? Huyo aliyetumia aliona mapungufu gani mpaka akaamua kuliuza na kununua jingine? Gari za mwaka 2000-2005 zilizotembea km 80,000 zimetumika kwa muda gani mpaka mmiliki anapoamua kuuza? Maana hapa bongo nyingi ya gari zinazouzwa zina umri kati ya miaka 15-20.
Naomba kujua wenzetu matumizi ya magari wanatumiaje gari ya umri mkubwa inaonekana kama jipya.
Cc: RRONDO
