Naam nyingi hazina ili kuna public toilets sehemu nyingi tu.., Kumbuka Banks sio kazi yao kuhudumia chakula ulichoingiza; ila migahawa ndio kisheria lazima iwe na Huduma hii..., hata hivyo kama mji katika planning inahikikisha kuna public toilets katika sehemu tofauti tofauti; Kwahio ingawa sio lazima kisheria Bank binafsi inaweza kufanya hivyo ila sioni kwanini ifanye (kuongeza overheads) wakati kuna Public Toilets pengine