gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
- Thread starter
- #41
Eiyer mdogo wangu wa moyoni, unatakiwa kuombea yote, kwanza mnamshukuru mungu kwa faragha laiyowapa kisha mnamwomba aitanguie na kuteka miili yenu ikatumike ipasavyo wakati wa tendo zima kisha mnaharibu kaazi za ibilizi juu ya tendo husika. manafanya mtakavyo. mkimaliza mnashukuru kwa tendo mlilokwisha fanya na raha mliyoipata. baadae kabla hamja kurupuka kuondoka mnarudiana ili ibilisi asiwajaribu kwa kutkuwa na kiasi kwenu.Heee!Kumbe hii imoeee,hebu niambie,unasalije vile?Ee Muumba nijalie nimchabange wife bao za kutosha. . . . .Nimejaribu tu haya mambo mi siyajui hebu nijuzeni!
Last edited by a moderator: