Wenzi wa ndoa wajinyonga mara tu baada ya ya harusi. Pana funzo hapa

Wenzi wa ndoa wajinyonga mara tu baada ya ya harusi. Pana funzo hapa

CORAL

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
2,813
Reaction score
1,827
Ile tabia ya wachumba kufanya sherehe za gharama kubwa wakitegemea michango ya watu imewagharimu uhai wanandoa mara baada ya harusi yao huko Kenya.
Walikodi hoteli ya nyota 5, walikodi helikopta na mbwembwe nyingine nyingi wakiamini michango itawacha wakiwa mamilionea baada ya harusi. Lakini kilichotokea ni watu wengi walioalikwa kutoa zawadi za maua badala ya pesa.Hali hiyo umewaacha wenzi hao na deni la Tshs 175milioni!
Kisa kamili hiki Bwana na bibi harusi wajinyonga siku nne baada ya harusi baada ya kukumbana na deni la zaidi ya milioni 175
 
Aisee mimi ndio nimeipata
 
Back
Top Bottom