Wera Weraaaaaa Hatimaye nimetoka Selo hahaaaaaaaaa

Mbona niko huru kitambo kweli nilitoa rushwa..hahahaha

Hahahaaaaaaa Mkuu kweli we noma, manake nilisoma mgongoni tarehe yako ya kutoka selo ilikuwa mbado.
Karibu mkuu tusherekee mwaka mpya sasa
 
Hahahaaaaaaa Mkuu kweli we noma, manake nilisoma mgongoni tarehe yako ya kutoka selo ilikuwa mbado.
Karibu mkuu tusherekee mwaka mpya sasa
Ukiwa unajuana na majangili kama Kinana na mafisadi kama Lowasa, ban ni matatizo madogo madogo tu...hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…