Wera Weraaaaaa Hatimaye nimetoka Selo hahaaaaaaaaa

Mungi Mungi jamani pole sana hiyo kampuni ya tunte mpaka ije ifilisike itakuwa imewasababishia ban watu wengi sana.
Na kule panalindwa masaa 24 hawalali wanapokezana zamu kukesha.
Welcome back
 
Last edited by a moderator:

Pole sana Mungi ndo challange hizo, BAN muhimu kama SUPLEMENTARY vile.

HERI YA MWAKA MPYA 2013.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Mungi!

Nilidhani huko central maana nilitaka ni kuletee roshoro!
 
Last edited by a moderator:
mbona ulishadanganyika siku nyingi upo kweenye utekelezaji
Heri ya mwaka mpya Erickb52 nimekumisje
Heheheee yan aliyeweza kunidanganya ni Kipipi tu na naona libwata yake kali balaa lol

Btw mi mzima kabisa Blaki Womani nimekumiss pia ila napatikana hapahapa chini ya mti km kawa!
 
Last edited by a moderator:
Mungi kumbe ulikuwa likizo! na mimi nataka nilianzishe sasa niripoti kunisingizia nilinatiana kule TMK.....
happy new year
 
Last edited by a moderator:

Welcome back mr Mungi.
Heri ya mwaka mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…