Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
Teh niko poa kabisaa na nilipokuona nimejawa na furaha mara mbili.
Hope zile stress za mwaka mpya umeshazisahau na umepona kwa sasa eeh
Karibu kwenye ulimwengu wa furaha achana na stress za walimwengu.
Wasiliana na manoah kagundua dawa!
Yaani katika siku ulizowahi kunifurahisha basi leo umeshika bendera.
Kati ya maneno yote unayoongeaga leo umetema pwenti mtupu.
Hivi jana ulilala wapi aisee??
Tafadhali ukiagiza fanta orange . . . .niite nikunyweshe!
BTW, dawa ya manoah haina haja, hilo pwenti lako ni mzizi tosha! lol
Hi Kipipi! Nakuona kwa mbali upo na maongezi na Erickb52.. Pouwa Jioni njema
Copy kwa nitonye na Vin Diesel
Kwani sianakuja kupata maombi tu bwana manoah ?
Karibu tujumuike mkurugenzi!
Samahani Mungi tuheshimiane....ntareport Abuse ooooh
Futa kauli kabla sijakurudisha server room