Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,028
Muheshimiwa Erickb52 . Kipipi si ni mkeo harali?
Teh niko poa kabisaa na nilipokuona nimejawa na furaha mara mbili.
Hope zile stress za mwaka mpya umeshazisahau na umepona kwa sasa eeh
Karibu kwenye ulimwengu wa furaha achana na stress za walimwengu.
Wasiliana na manoah kagundua dawa!
Last edited by a moderator: