Wera Weraaaaaa Hatimaye nimetoka Selo hahaaaaaaaaa

Wera Weraaaaaa Hatimaye nimetoka Selo hahaaaaaaaaa

Atubukie na mhudumu asiyependa cha juu amnunulie na kalukuleta mpya, kwa hali itakavyokuwa hatutakuwa makini na bili.

hahahahahah walimwengu wasanii kweli eti kalikuleta inazidisha bill mbona haipunguzi lol
 
Mungu Baba nakuomba ummbariki huyu mwanao Arushaone kwa kadri ya mapendo yako kwake, ujae ndani ya nafsi ya ufanye makao ndani ya nafsi yako. Ee! Mungu Baba wewe ni mkuu na ni tegemezi katika maisha yetu.

Amina ubarikiwe sana kwa niaba ya familia
 
Samahani Mungi tuheshimiane....ntareport Abuse ooooh
Futa kauli kabla sijakurudisha server room

Mkuu hebu nikumbushe ..... hivi unao wangapi vile? manake ntakuwa nimesahau idadi
 
Last edited by a moderator:
manoah na Madame B haya mie naendelea kufurahia mapicha

Slide1_146.JPG
 
Erickb52 na ndugu Mungi , tumeagizwa upendo na palipo na upendo kuna amani, nalo neno likae mioyoni mwenu.

Amen! tatizo Erickb52 anataka kunikana hapa......... akiona Kipipi amelog off mdo anakuja kunipa cheers!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom