Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

jamani eeh....tuanze kubukiana hapa hapa.....sio tufike kule tuanze kutoleana mimacho kama kenge.....nani atapenda kupumzika na Preta ufukweni......?

Preta mie nimembuku anko wako Mungi manake nimegundua Filipo ni gubegube...ole wake atakaemtolea mimacho Mungi....

Mungi popote ulipo i love you ila afta safari narudi kwa Filipo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu PakaJimmy itapendeza sana kama tutakutana na mamembers wa kutoka chumvini (dar), lakini tuhakikishe tunaimarisha ulinzi wa kutosha kwa warembo wetu Preta, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, marejesho na wengine kutoka Arusha, manake bana hawa jamaa wa kule hawaaminiki kabisa, ukizingatia akina Bishanga, Ruttashobolwa, Chilli wakiongozwa na mkaguzi babu Asprin.

Erickb52, Arushaone, Filipo, Mr Rocky na mlokole Mzee wa Rula tuhakikishe tunachafua hali ya hewa kwa warembo akina Madame B, charminglady, FirstLady na wengine bila kuogopa kwenda selo, bali tuhakikishe tumeacha mbegu kwa hawa jamaa...................................... kwa pamoja tunaweza
Afu nishakubuku honey Mungi...umwambie PakaJimmy atuwekee siti ya pamoja hiyo siku ikifika. Sawa chwitii eeh?

Filipo mie ndo nshajivua gamba hvyo jiachie tu na marejesho.
 
Last edited by a moderator:
Lily Flower nimeshampatia majukumu mkuu............................. wadau wa Arusha tumejizatiti kuhakikisha awamu hii tunapanda mbegu za kiarusha dar.................... ili kufanikisha hilo Mr Rocky ameshafikia pazuri na Kipipi, kwa jinsi huyu mrembo alivyo na haraka nina mashaka kama hata watafika siku yenyewe


Mungi usitegemee hapo hata siku yenyewe itafika. Maana Kipipi ana mzuka mbaya ila Erickb52 analeta majungu kama ya Arushaone wanayatembeza balaa aise hawa jamaa
Ngoja nishagundua dawa yao ni kuwagandisha tuu kwa wachuchu yao @
 
Last edited by a moderator:
Mungi usitegemee hapo hata siku yenyewe itafika. Maana Kipipi ana mzuka mbaya ila Erickb52 analeta majungu kama ya Arushaone wanayatembeza balaa aise hawa jamaa
Ngoja nishagundua dawa yao ni kuwagandisha tuu kwa wachuchu yao @

Hivi mkuu Mr Rocky kwa hii staili ya Kipipi mtafika hiyo tarehe kweli?
Hebu ona dah!
311391_379289158818469_217486709_n.jpg


Usiwe na Mashaka na Arushaone na Erickb52, hawa jamaa dawa yao ndogo sana, kwa mfano Arushaone ndovu mbili tu anakuwa hivi:
189734_280068525429111_1405673811_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
mwanaume una hatari wewe..............


Nabook kwako Preta kwa Madame B BADILI TABIA cacico gfsonwin King'asti lara 1 Kongosho marejesho Lily Flower Kipipi (km akiwepo) Zinduna Erotica afrodenzi FirstLady1 sweetlady Yummy YNNAH snowhite FP Remmy charminglady Elizabeth Dominic Mwa J Dena Amsi Catherine Smile ila Blaki Womani namwachia Mzee wa Rula aliyeshika kijiti baada ya Arushaone kula buti la chogo.
Onyo....
Msiguse watu hawa..
Amyner yeye km kawa kajituliza kwa kasuku wake (mimi)
 
Back
Top Bottom