Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

jamani eeh....tuanze kubukiana hapa hapa.....sio tufike kule tuanze kutoleana mimacho kama kenge.....nani atapenda kupumzika na Preta ufukweni......?

Preta mie nimembuku anko wako Mungi manake nimegundua Filipo ni gubegube...ole wake atakaemtolea mimacho Mungi....

Mungi popote ulipo i love you ila afta safari narudi kwa Filipo.
 
Last edited by a moderator:
Afu nishakubuku honey Mungi...umwambie PakaJimmy atuwekee siti ya pamoja hiyo siku ikifika. Sawa chwitii eeh?

Filipo mie ndo nshajivua gamba hvyo jiachie tu na marejesho.
 
Last edited by a moderator:


Mungi usitegemee hapo hata siku yenyewe itafika. Maana Kipipi ana mzuka mbaya ila Erickb52 analeta majungu kama ya Arushaone wanayatembeza balaa aise hawa jamaa
Ngoja nishagundua dawa yao ni kuwagandisha tuu kwa wachuchu yao @
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mwanaume una hatari wewe..............


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…