Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Hahahahaha! Lily Flower hata Mungi akikanusha mie wala sishituki manake huku kwenye PM amenijibu hivi namnukuu 'i love you too sweetlady and we will be together' ..mwisho wa kunukuu! Sema nae vizuri...lol
sweetlady una maneno ka ya yule mrembo aliyenipeleka selo hahaaaaa! una mambo!Hahahahaha! Lily Flower hata Mungi akikanusha mie wala sishituki manake huku kwenye PM amenijibu hivi namnukuu 'i love you too sweetlady and we will be together' ..mwisho wa kunukuu! Sema nae vizuri...lol
Anamalizia kujibu PM yangu ya mwisho then anakuja afu hivi kweli Lily Flower unategemea Mungi aje hapa akubali? Sie twamalizana huku PM we ulie tu lol.
sweetlady una maneno ka ya yule mrembo aliyenipeleka selo hahaaaaa! una mambo!
btw, Lily Flower umemwona sweetlady ni mchonganishi
Hahahaha, mrembo gani alikupeleka sero Mungi? Mie wala sichonganishi Mungi yaani hapa najidai kuwa na gentleman kama wewe!sweetlady una maneno ka ya yule mrembo aliyenipeleka selo hahaaaaa! una mambo!
btw, Lily Flower umemwona sweetlady ni mchonganishi
Anamalizia kujibu PM yangu ya mwisho then anakuja afu hivi kweli Lily Flower unategemea Mungi aje hapa akubali? Sie twamalizana huku PM we ulie tu lol.
Anza kumbuku LiverpoolFC chapu kabla Blaki Womani hajakuwahi.
Lily Flower unawasiwasi gani wakati nimekupa access yakuingia kwenye account yangu? sweetlady hebu fanya buking kwa babu Asprin kabla nafasi haijajaa hahaaaa
Lily Flower nimeshakanusha bana mambo ya selo tena dah!Yaani usipokanusha nakurudisha selo ha ha ha ha
Hehehehe, we mpeleke tu mpenzi ila kukanusha hawezi, tena akifanya mchezo naweka PM hadharaniYaani usipokanusha nakurudisha selo ha ha ha ha
Lily Flower unawasiwasi gani wakati nimekupa access yakuingia kwenye account yangu? sweetlady hebu fanya buking kwa babu Asprin kabla nafasi haijajaa hahaaaa
Hahahaha, siwataki walevi hao wataniangusha ufukweni lol...
Hivi mkuu Mr Rocky kwa hii staili ya Kipipi mtafika hiyo tarehe kweli?
Hebu ona dah!
Usiwe na Mashaka na Arushaone na Erickb52, hawa jamaa dawa yao ndogo sana, kwa mfano Arushaone ndovu mbili tu anakuwa hivi:
[/QUOTE
Mungi usiwe na wasi wasi kabisa
Hapo hashindwi mtu kabisa anaweza kukimbia na nanihiii yake mkononi kwa mambo atakayofanyiwa
Duh Mungi hiyo picha ya Erickb52 umeitoa wapi aise. Hiyo ndio picha ya mwaka ya Erickb52 na mwenzake Arushaone naye ana picha kama hiyo
Hehehehe, we mpeleke tu mpenzi ila kukanusha hawezi, tena akifanya mchezo naweka PM hadharani
Sitaki nimekuchagua wewe!Lily Flower unawasiwasi gani wakati nimekupa access yakuingia kwenye account yangu? sweetlady hebu fanya buking kwa babu Asprin kabla nafasi haijajaa hahaaaa
Hahahaha, siwataki walevi hao wataniangusha ufukweni lol...