Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
hawawezi.......amin amin nakuambia, hata safari ya Tanga itakapowadia, watakuwa wanashangaa shangaa tu na maneno yao mengi!
....nimeona kaka..najua utakuwepo....?
Usijali Lily Flower, kwani sweetlady hana madhara kabisa.................... nashangaa nitonye na Filipo wananitumia PM lakini kujitokeza huku eti wanamgwaya sweetlady hii namna gani hawa jamaa? kha!
Hao vijana wa maneno mengi.......you are too damn good for them.
I am just sending a message....they should back off.
...
Karibu tuko hapa city park na Mungi tunapata lunch! Unalo shosti.
hivi nataka kujua.....@LD... FirstLady.... Teamo.. the finest..... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown... SaHaRaVoice.... Maty.... Kaizer......@GY.....@R R.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......
hawawezi.......amin amin nakuambia, hata safari ya Tanga itakapowadia, watakuwa wanashangaa shangaa tu na maneno yao mengi!
hivi nataka kujua.....@LD... FirstLady.... Teamo.. the finest..... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown... SaHaRaVoice.... Maty.... Kaizer......@GY.....@R R.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......
hah hah hah hah hah!!! Hata ukitongoza kwa kingereza, haitakusaidia!? Pair zimekamilika na ulinzi umeimarishwa!! Chezea polisi jamii weye....!? Labda ukamfanyie booking Madame B maana ana interest na hatapata mwenza! Lol...
Umeona eeh alivyokuja kwa kasi dah! sijui kapotelea wapi chezeaa chuga boys yeye.
Unga limited boys hawana lolote! Ina bidi kwanza muwafundishe kuogelea maana mtu kama Mungi na Erick B52 watazama. Ndio maana na kushauri siku hiyo usinipe nafasi ya kuwa mbali na wewe!
hah hah hah hah! Kaka unapanga maneno!!? Usiombe ukakutana na machalii wa fire! Wameoga sana mto Themi, nini Pangani! Hiyo beach ndio usiseme! Kina chake ni robo tu ya ziwa Duluti! Chezea Chuga wewe!!!
Nilikwenda pale duluti lake(tengeru) wala machalii amuendi pale mnaogopa tangu mtu afe pale wote mmekimbia!
Mkuu habari za masiku? niliambiwa ati umeokoka siku hizi unakesha na kushinda sinagogue. Tanga kunani utakwenda?