Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

....nimeona kaka..najua utakuwepo....?

mtu chake tunaombeana uzima bana
Mungi taarifa za kiintelijesia zinaonyesha kuwa umehongwa na bahasha ya kaki imekuja kwako kutoka kwa Erickb52 ili ampate Kipipi ufanye kampeni
sweetlady mekumiss wewe halafu penda sana wewe (futa faster hapo)
Lily Flower mbona hata sioni kampeni zako aise nimpate Kipipi[/QUOTE]

Mr Rocky juhudi zote za kukuwekea na picha ya Kipipi ni kwa ajili ya ile bahasha yako ya madolare......... bado napambana, PM ya mwisho ya Kipipi inamatumaini kwako, ila Erickb52 nasikia ametoa ATM card kwa Kipipi, labda aje kukanusha hapa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mimi nipo na marejesho wangu nawaangalia tu mnavyohangaika kupata wenza!
Kupendwa raha sana Mungi. Si unaona sweetlady anavyohangaika! Kukataliwa kubaya ati! Hadi Mwita Maranya amemkataa!? sweetlady anakutana na adha ya kuwa nyumba ndogo. Hadi nitonye amemchunia. Huenda nae amepanga kuja na mke wake! Lol...
Usijali Lily Flower, kwani sweetlady hana madhara kabisa.................... nashangaa nitonye na Filipo wananitumia PM lakini kujitokeza huku eti wanamgwaya sweetlady hii namna gani hawa jamaa? kha!
 
Last edited by a moderator:
Hao vijana wa maneno mengi.......you are too damn good for them.
I am just sending a message....they should back off.

hah hah hah hah hah!!! Hata ukitongoza kwa kingereza, haitakusaidia!? Pair zimekamilika na ulinzi umeimarishwa!! Chezea polisi jamii weye....!? Labda ukamfanyie booking Madame B maana ana interest na hatapata mwenza! Lol...
 
Last edited by a moderator:
hivi nataka kujua.....@LD... FirstLady.... Teamo.. the finest..... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown... SaHaRaVoice.... Maty.... Kaizer......@GY.....@R R.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......

Hao ndio wanaingia kama guest! Wameuogopa mziki wetu vijana wa Chuga! Maji marefu haya!!!
 
Bado sijawaona member wa Tanga hapa! tanga kwetu habari yake bana!!?
 
Last edited by a moderator:
hivi nataka kujua.....@LD... FirstLady.... Teamo.. the finest..... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown... SaHaRaVoice.... Maty.... Kaizer......@GY.....@R R.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......

Aaaaiiii hivi hawa watu wako wapi Ncha na hmethod, jamani jitokezeni popote mliopo chonde chonde.
 
Last edited by a moderator:
Bado sijawaona member wa Tanga hapa! tanga kwetu habari yake bana!!?
 
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah hah!!! Hata ukitongoza kwa kingereza, haitakusaidia!? Pair zimekamilika na ulinzi umeimarishwa!! Chezea polisi jamii weye....!? Labda ukamfanyie booking Madame B maana ana interest na hatapata mwenza! Lol...

Umeona eeh alivyokuja kwa kasi dah! sijui kapotelea wapi chezeaa chuga boys yeye.
 
Unga limited boys hawana lolote! Ina bidi kwanza muwafundishe kuogelea maana mtu kama Mungi na Erick B52 watazama. Ndio maana na kushauri siku hiyo usinipe nafasi ya kuwa mbali na wewe!

Umeona eeh alivyokuja kwa kasi dah! sijui kapotelea wapi chezeaa chuga boys yeye.
 
Umeona eeh alivyokuja kwa kasi dah! sijui kapotelea wapi chezeaa chuga boys yeye.

atakaa sana! Mwaka huu so kiiiiivo!!! Akileta zipi tumamfanya "hamna!". Hah hah hah hah Bigirita! Tutakupa cha Arusha ukaokote Chumbageni!!!
 
Last edited by a moderator:
Unga limited boys hawana lolote! Ina bidi kwanza muwafundishe kuogelea maana mtu kama Mungi na Erick B52 watazama. Ndio maana na kushauri siku hiyo usinipe nafasi ya kuwa mbali na wewe!

hah hah hah hah! Kaka unapanga maneno!!? Usiombe ukakutana na machalii wa fire! Wameoga sana mto Themi, nini Pangani! Hiyo beach ndio usiseme! Kina chake ni robo tu ya ziwa Duluti! Chezea Chuga wewe!!!
 
Nilikwenda pale duluti lake(tengeru) wala machalii amuendi pale mnaogopa tangu mtu afe pale wote mmekimbia!

hah hah hah hah! Kaka unapanga maneno!!? Usiombe ukakutana na machalii wa fire! Wameoga sana mto Themi, nini Pangani! Hiyo beach ndio usiseme! Kina chake ni robo tu ya ziwa Duluti! Chezea Chuga wewe!!!
 
Nilikwenda pale duluti lake(tengeru) wala machalii amuendi pale mnaogopa tangu mtu afe pale wote mmekimbia!

hah hah hah hah hah! Itakuwa ulikutana na wanafunzi wa Bondeni Sec wameenda "trip!". Lol...
 
Mkuu habari za masiku? niliambiwa ati umeokoka siku hizi unakesha na kushinda sinagogue. Tanga kunani utakwenda?

Kweli kaka siku hizi nampenda sana bwana Yesu, lakini Tanga kunani pale ndiyo kwetu nitakwenda mkuu, Karibu tujumike.
 
Back
Top Bottom