Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Weraaa...... Basi na sisi tutabook chumba cha karibu na nyie wapendanao...
mie poa haswa.......ukitaka kula na kipofu usimshike mkono
Eti kuna sijiu kitu gani ........... babu Asprin kwakuwa ni mkoloni anasema eti nguo imekaa kama kamba kamba hivi hahaaaaaa............. amesema umetume tu akuchukulie kama huna muda
Cjamgusa mkono. Will u be there?
Lily Flower njo mjibu maza banaau kizito chenye chembechembe za bomu.........naona unavuta uzi mrefu kwa Lily Flower
au kizito chenye chembechembe za bomu.........naona unavuta uzi mrefu kwa Lily Flower
khaaa unauliza vumbi stoo Ruttashobolwa ninaye hapa hadi 2013
hahahahah taratibu Ruttashobolwa asisiki unataka akimbie jukwaa kama Arushaone
Cjamgusa mkono. Will u be there?
swali gani hilo best.......kiongozi wa msafara
Naona unatest mikao Mkuu, safi sana
mi nasubiri kuona picha huko za malaji na manywaji...