Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi nataka kujua....... FirstLady...... Kimey..... Ncha... Chipukizi.... hmethod.... Derimto..... WiseLady.... fidel... MwanajamiiOne..... Crashwise.... Loner... Freetown.. Teamo... The Finest..... SaHaRa voice... Maty.... Kaizer......@GY.....@RR.....na wengine wengi....hamjauona huu uzi...ama ni nini....?......kama tumewakosea tunaomba msamaha lakini tafadhali itikieni hapa....khaaa......mlivyouchubua......
Mkuu mmmm sidhani kama kweli umemkagua marejesho, manake mwonekano wake unawakilisha............. ila ukiangalia typing zake zinaonyesha kama umemkagua vile! kama kweli umekagua dah, mbona niaje mazee:msela:
Karibuni sana kwetu. Mkija msisahau kunishtua nije alau kuwasabah
Ahsante. Itakubid uwe mwenyeji wangu
usijali Nicas Mtei wewe ni mgeni wangu ntakutembeza maeneo maeneo
Karibuni sana Tanga wakuu. Mkija tutafutane wenyeji wenu tupo. Mnaweza kuni-PM au kutumia 0713 246764. Karibuni sana PakaJimmy Nicas Mtei Erickb52 na wengine.
Asante sana Mohamedi Mtoi nimefurahi kupata ushirikiano mapema...tutakuja na naamini tutakuwa wote!Karibuni sana Tanga wakuu. Mkija tutafutane wenyeji wenu tupo. Mnaweza kuni-PM au kutumia 0713 246764. Karibuni sana PakaJimmy Nicas Mtei Erickb52 na wengine.
Namaste. Na pa kulala pia.
hahahahaha Lily flower, nipo bana. Hmethod wapi wewew??!! mipango yenu mizuri na naamini nitajumuika nanyi kama kawa!! nilikuwa sijatembea huku muda kwa sababu ya majukumu tuu. Preta salama?? Salimia mkuu PJ
hahahahaha Lily flower, nipo bana. Hmethod wapi wewew??!! mipango yenu mizuri na naamini nitajumuika nanyi kama kawa!! nilikuwa sijatembea huku muda kwa sababu ya majukumu tuu. Preta salama?? Salimia mkuu PJ
Karibuni sana kwetu. Mkija msisahau kunishtua nije alau kuwasabah
Karibuni sana Tanga wakuu. Mkija tutafutane wenyeji wenu tupo. Mnaweza kuni-PM au kutumia 0713 246764. Karibuni sana PakaJimmy Nicas Mtei Erickb52 na wengine.
Karibuni sana Tanga wakuu. Mkija tutafutane wenyeji wenu tupo. Mnaweza kuni-PM au kutumia 0713 246764. Karibuni sana PakaJimmy Nicas Mtei Erickb52 na wengine.
Me mbona niko Tanga?
Hebu nitafute Mohamedi Mtoi,ila nageuza saa 4.
Saa nne na dakika moja sa hv kashachelewa tayari.
asante sana......naomba uniandalie na ubuyu.....