Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Mungi usiseme sana. Mi tayari nsham miliki marejesho

Mkuu mmmm sidhani kama kweli umemkagua marejesho, manake mwonekano wake unawakilisha............. ila ukiangalia typing zake zinaonyesha kama umemkagua vile! kama kweli umekagua dah, mbona niaje mazee:msela:
 
Last edited by a moderator:
Preta usitie Shaka namie nimo,Ntawasiliana na Mzee PJ kuweka mambo sawa.

 
Aaaaiiii hivi hawa watu wako wapi Ncha na hmethod, jamani jitokezeni popote mliopo chonde chonde.

hahahahaha Lily flower, nipo bana. Hmethod wapi wewew??!! mipango yenu mizuri na naamini nitajumuika nanyi kama kawa!! nilikuwa sijatembea huku muda kwa sababu ya majukumu tuu. Preta salama?? Salimia mkuu PJ
 
Mkuu mmmm sidhani kama kweli umemkagua marejesho, manake mwonekano wake unawakilisha............. ila ukiangalia typing zake zinaonyesha kama umemkagua vile! kama kweli umekagua dah, mbona niaje mazee:msela:

Ni kweli nimemkagua. Kwa nini nisimkague wakat amekuja Dar?
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha Lily flower, nipo bana. Hmethod wapi wewew??!! mipango yenu mizuri na naamini nitajumuika nanyi kama kawa!! nilikuwa sijatembea huku muda kwa sababu ya majukumu tuu. Preta salama?? Salimia mkuu PJ

Karibu sana Ncha usikae kimya hivyo pressure zinapanda na kushuka bhana.
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha Lily flower, nipo bana. Hmethod wapi wewew??!! mipango yenu mizuri na naamini nitajumuika nanyi kama kawa!! nilikuwa sijatembea huku muda kwa sababu ya majukumu tuu. Preta salama?? Salimia mkuu PJ

nimefurahi kusikia kutoka kwako......ulipotea sana bana......lakini nakuaminia.....pamoja sana........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…