Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Eti nani ananiita? Ncha kama unataka kwenda selo fanya ubukiwe na Lily Flower........................... halafu na we Lily Flower unafanya mambo gani bana wakati unajua sweetlady yupo kwenye corner anantega?

Babe Mungi umetumia miwani gani na nilikuibia ile ya kusomea ulivyokuwa bwiii......... ha ha ha usijali mambo hayajaharibika.
 
Last edited by a moderator:
Babe Mungi umetumia miwani gani na nilikuibia ile ya kusomea ulivyokuwa bwiii......... ha ha ha usijali mambo hayajaharibika.

Ulisahau kama ile miwani ilikuwa inarekodi hahaaaaaaa. halafu kwenye jicho moja ilikuwa haina glasi
 
Acha kushangaa Preta, jiandae na ugeni wa ile ishu tuliyoiongea kwenye simu, kwani binafsi sitaki kui-handle mwenyewe.

Huko kwenye simu hamkumalizana na Preta!? Mbona unaweka PM hadharani!?
 
Last edited by a moderator:
Mi bado najachagua nguo za kirisimasi nikimaliza nakuja kujibebea mali hukohuko tanga nawaangalia tu hawa washika pembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…