Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Eti nani ananiita? Ncha kama unataka kwenda selo fanya ubukiwe na Lily Flower........................... halafu na we Lily Flower unafanya mambo gani bana wakati unajua sweetlady yupo kwenye corner anantega?
Kashangae feri meli inaelea afu shilingi inazama!he!.......
yeboooo.....
Preta bwana eti yebooo sasa wakuu minipo Dar lkn nataka nishiriki au na sisi huku tukutane wote then hiyo 28 tukutane Tanga nanyi wa A town.