Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Eti nani ananiita? Ncha kama unataka kwenda selo fanya ubukiwe na Lily Flower........................... halafu na we Lily Flower unafanya mambo gani bana wakati unajua sweetlady yupo kwenye corner anantega?

Babe Mungi umetumia miwani gani na nilikuibia ile ya kusomea ulivyokuwa bwiii......... ha ha ha usijali mambo hayajaharibika.
 
Last edited by a moderator:
Babe Mungi umetumia miwani gani na nilikuibia ile ya kusomea ulivyokuwa bwiii......... ha ha ha usijali mambo hayajaharibika.

Ulisahau kama ile miwani ilikuwa inarekodi hahaaaaaaa. halafu kwenye jicho moja ilikuwa haina glasi
 
Mi bado najachagua nguo za kirisimasi nikimaliza nakuja kujibebea mali hukohuko tanga nawaangalia tu hawa washika pembe
 
Back
Top Bottom