Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa
 
Last edited by a moderator:
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa

hah hah hah hah hah! Usiogope! Anatania tu!
 
Last edited by a moderator:
hah hah hah hah hah! Usiogope! Anatania tu!
huyu Mungi naona sero inamnyemelea tena sio bure
hata ile sero aliwekwa nadhani aliacha mbegu mahali labda
 
Last edited by a moderator:
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa
Achana na huyo mtoto wa shule...shida ya huyo anaandika post akiwa amelaza konyagi mezani, ndiyo maana dakika yoyote anaswekwa sero.
 
Achana na huyo mtoto wa shule...shida ya huyo anaandika post akiwa amelaza konyagi mezani, ndiyo maana dakika yoyote anaswekwa sero.
hii sio nguvu ya kiroba tu nadhani...
 
daaah kuna usalama kweli?
huogopi kuwekwa sero tena?
mkuu PakaJimmy njoo mwenyewe uone kitu mwanafunzi wako kaandika hapa

Hahaaaaaaaaaaaaa na we Smile na mauoga yako bana.................. tumesema tutaimarisha usalama kwa warembo wetu, halafu kule tunaharibu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…