Mkuu
PakaJimmy itapendeza sana kama tutakutana na mamembers wa kutoka chumvini (dar), lakini tuhakikishe tunaimarisha ulinzi wa kutosha kwa warembo wetu
Preta,
Blaki Womani,
Lily Flower,
sweetlady,
marejesho na wengine kutoka Arusha, manake bana hawa jamaa wa kule hawaaminiki kabisa, ukizingatia akina
Bishanga,
Ruttashobolwa,
Chilli wakiongozwa na mkaguzi babu
Asprin.
Erickb52,
Arushaone,
Filipo,
Mr Rocky na mlokole
Mzee wa Rula tuhakikishe tunachafua hali ya hewa kwa warembo akina
Madame B,
charminglady,
FirstLady na wengine bila kuogopa kwenda selo,
bali tuhakikishe tumeacha mbegu kwa hawa jamaa...................................... kwa pamoja tunaweza